Confession: Nimefanya sana umalaya, sasa basi

Confession: Nimefanya sana umalaya, sasa basi

Kuna dada mmoja yupo Chuo cha Hombolo ni mhathirika wa virusi moto vya ukimwi ametaja orodha ndefu ya aliofanya nao uasherati !
Basi mmoja wa vijana kusikia jina lake akajirusha kutoka orofani mpaka chini lakini bahati mbaya hakufa bali aliumia sana kukimbizwa hospitali.
 
Hata huyo ulienae anaweza kuwa scraper. Do not be too quick to judge.
Anyways kejeli zenu zinanipa challenge pia. Ahsante.
Neema, utakuwa unafanya la maana sana kutojibishana na watu wanaokukejeli..n you just look kwenye post zao then unaselekti yanayokusaidia.. ACHA
 
Kuna dada mmoja yupo Chuo cha Hombolo ni mhathirika wa virusi moto vya ukimwi ametaja orodha ndefu ya aliofanya nao uasherati !
Basi mmoja wa vijana kusikia jina lake akajirusha kutoka orofani mpaka chini lakini bahati mbaya hakufa bali aliumia sana kukimbizwa hospitali.
Lini hiyo imetoke?
 
Hizi fake id zinaokoa watu sana, watu wanatiririka tu,cha msingi kila anaye tubu usamehewa hakuna kosa kubwa wala kosa dogo likakosa msamaha,umeshafanya nusu ya kuomba msamaha kwa jamii yako, sasa nenda kampigie goti Mungu na kutubu dhambi zako zote. Na ubadirike kweli.
 
Tena wewe utakuwa mke mwema balaa.. Nimekupenda ngoja nije pm tuanze mchakato
 
Dada Ney usijishangae. Almost 95% ya mabinti ambao ni 20+ historia zenu hazitofautiani.
Nowdays kuliwa jicho chongo especially kwa wanawake ni kama kutumbua majipu, imekua fasheni. Usijute, that's your life. Cha mno Mrudie muumba kwani sio wewe peke yako
 
Sidhani kwamba unahitaji mwanaume sasa hebu jaribu wanawake uone kipindi hiki
 
Thanks so much, ubarikiwe sana. I really needed this.
Maneno yako yamenipa nguvu sana. Ahsante pia for not judging me
Amen.. Dear don't worry people who judged you from here Jf.. Heri yako uliyekuja clean because you came home to your Heavenly Father Angels are happy , na kushangilia because you came back home .. Fear not daughter of Zion. Jesus loves you so much more than you could ever imagine.. Remember tulio humu sio Mungu who can say yes we forgive you or not .. Its only aliye heaven does the forgiveness.. Don't listen to those who discouraged you maana nobody is perfect .. Amen.. I love you dearly Sister of Christ... Amen ... Keep move forward and look up on heaven... For your breakthroughs... Amen.. Be Blessed.. Thanks..
 
Asikwambie mtu mwanamke w hivi alieamua kutulia atatulia kweli klk ambae umeoa ametulia akilianzisha utajuta
 
Hata huyo ulienae anaweza kuwa scraper. Do not be too quick to judge.
Anyways kejeli zenu zinanipa challenge pia. Ahsante.
Dear don't waste your breath just ignore those who judge you and let God fights for you.. Remember the Battle is not for you , its for the Lord.. Wanaokudharau, siku moja watakusalimia kwa heshima .. Amen.. Focus unto your Heavenly Father..okay.. Don't bother , utawajibu wangapi humu forget them.. Thanks..
 
Usjari dada angu,unanafasi nyingine ya kutenda mema na kuwa mama wa familia ila mrudie Mungu pia na utubu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom