cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Wapendwa nawasalimi Amani ya Mungu iwe juu yenu.
Naomben mnisaidie kama kuna anayejua juu ya hili, computer yangu sijui kwa nin imekua slow sana.Natumia browser ya fire fox.
Natanguliza shukrani.
Naomben mnisaidie kama kuna anayejua juu ya hili, computer yangu sijui kwa nin imekua slow sana.Natumia browser ya fire fox.
Natanguliza shukrani.