Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Hakuna kitu kizuri na kinachotoa moyo kwa jamii kama kupewa pongezi. Mara nyingi zawadi zinatumika katika kupongeza juhudi za mtu binafsi au hata vikundi vinavyoleta mabadiliko katika jamii. Marekani wana desturi nzuri ya kutoa zawadi mbalimbali na leo Obama ametoa '2011 National Teacher of the Year Award.'
Video hii hapa: YouTube - 2011 National Teacher of the Year Award
Sina uhakika kama Tanzania tuna hizi zawadi za jamii, maana mimi binafsi sijawahi sikia wala kuona mtu akishinda. Nina shauri kuwa tuchukue hatua ya kuanza kutoa hizi zawadi na hata kufanya publication ya hizi zawadi.
Itakuwa even more interesting kama Chadema watafanya juhudi za kutoa zawadi kadhaa kwa jamii kwa ajili ya kuonyesha kujali maendeleo katika jamii. Huo ndio ushauri wangu.
Video hii hapa: YouTube - 2011 National Teacher of the Year Award
Sina uhakika kama Tanzania tuna hizi zawadi za jamii, maana mimi binafsi sijawahi sikia wala kuona mtu akishinda. Nina shauri kuwa tuchukue hatua ya kuanza kutoa hizi zawadi na hata kufanya publication ya hizi zawadi.
Itakuwa even more interesting kama Chadema watafanya juhudi za kutoa zawadi kadhaa kwa jamii kwa ajili ya kuonyesha kujali maendeleo katika jamii. Huo ndio ushauri wangu.