Twende taratibu jamani, kwanza International Airport ni uwanja wa aina gani? Unatakiwa uwe wapi na je tulivyonavyo vime perform kiasi gani?
International Airport ni uwanja wa KIMATAIFA yaani kuna International arrivals & departures hivyo facilities zake zinatakiwa kuwa ina hadhi ya kimataifa. Lakini pia hizo departure na arrivals ni abiria ndo wanatakiwaa wawe wanasafiri na kuingia.
Abiria hawa ni pamoja na watalii, wafanyabiashara, dilpmats, wanasiasa etc. Hivyo lazima mji ambao International Airport unajengwa lazima kuwe na potentials. Ok inawezekana plan ya 2030 kila wilaya iwe na International Airport ila kwa kuzingatia hali ya kifedha ya nchi yetu this is not supposed to be of the priority. I can BET kama wakiendelea kuujenga basi utakuwa under utilized at 99% (WHITE ELEPHANT)
For your information KIA is underutilized for almost 80% kwani ndege inayo land pale ya kimataifa ni KLM, ETHIOPIAN, na kandege kengine kamenza hivi karibuni toka RSA. And gues what hizi ndege hazitui kila siku.
Hivi kuna businessman, mtalii, diplomat, celebrities ambao anataka kwenda Mpanda sasa HIVI?
USHAURI - Serikali waweke strategies za vivution Mpanda then ndio waangie kwenye miundo mbinu. AU HIZO HELA ZIONGEZWE KWENYE BAJETI YA MIUNDO MBINU THEN ZIPELEKWE TRL KWANZA WANA MPANDA WANGEFURAHI SANA.