Coming soon: Mpanda International Airport!

Hao ndio WADANGANYIKA pure,ambao chama cha magamba imewatumia tangu UHURU .

Je hawa watoto kwenye wanajua EPA,KAGODA,BoT,North Mara,Tarime,etc?

Kama wewe ni Mfipa uko DSM unafurahi kuona hao watoto wanatumiwa na Nape&Co kuwaongopea?
 
I am very sure kama uwanja huu ungejengwa sehemu nyingine au kama ingekuwa ni chama cha upinzani kimekuja na kauli hiyo humu ndani response ingekuwa ni positive. International or otherwise, Rukwa kama sehemu nyingine ya nchi wanahitaji miundo mbinu na Airport. Hoja kwamba hakuna watu watapanda ndege ni dhana tu kwani huwezi kujua hilo mpaka kuwe na ndege na huo uwanja. Wacha maendeleo yawe de-centralized kwa maendeleo ya nchi yote.
 
mkuu mimi nashida kabisa hawa viongozi weti sijui awana exposure au kuta za ma vx zinzwapofusha

Ni ukosefu wa wizu kwa viongozi wetu wanalewa madaraka, hela za ufisadi hadi hawajifunzi pamoja na safari zote za nje, sasa unadahani watajenga viwanja kwa hela gani wakati wana wanajilimbikizia mabilioni kwenye ma benki ya nje.

angalia hapa ni juzi juzi tu walikuwa wakimbizi hapa kwetu sasa wako juu.

Johannesburg.jpg
 

Attachments

  • Johannesburg.jpg
    Johannesburg.jpg
    28.6 KB · Views: 53
sasa ndo apande nyasi jamani? si bora basi angeonyesha kubeba ndoo ya mchanga au mawe kuonyesha ishara ya ujenzi, sasa uwanja wa ndege na nyasi wapi na wapi? sijawahi kuona, yaani wanaanza na landscape kwanza, bora hata angepanda mti kuonyesha utunzaji wa mazingira hata baada ya uwanja kwisha kuliko magugu (nyasi), hizo angezipanda kwa ujenzi wa uwanja wa mpira km ishara.
 
Ni ukosefu wa wizu kwa viongozi wetu wanalewa madaraka, hela za ufisadi hadi hawajifunzi pamoja na safari zote za nje, sasa unadahani watajenga viwanja kwa hela gani wakati wana wanajilimbikizia mabilioni kwenye ma benki ya nje.

angalia hapa ni juzi juzi tu walikuwa wakimbizi hapa kwetu sasa wako juu.View attachment 31575


Kumbuka hao ni makaburu,sio freedom fighters waliofanya hivi!
Akina Jakob Zuma ni sawa na viongozi wetu,ila tu kule kuna free media ,huwezi kudanganya kila siku.
ANC kila siku inakwenda chini ,uzuri weusi wa kule ni wanajua mambo mengi kulliko watu wetu.ANC wanapitia
kama TANU ilivyokua baada ya uhuru,AFRICANISATION.
 
ujinga mtupu. Dar yenyewe haina hadhi ya kiwanja cha kimataifa. Hivi wabongo tumelogwa? na nyasi anazipanda za nini? sioni logic nikuwanganya watu maskini kama hao ili wapate kula basi. Nani atapanda ndege hapo Rukwa kama si mbunge na mkuu wa mkoa tu? watu hawana mavazi, hospital shule na pahala pa kuuzia mazao yao wewe unaleta hadithi za kijinga. Tulilongwa maana hata rais mwenyewe ni kulalalamika tu. Majina ulisema unayo ya wavuta unga sasa ya nini kuwaambia maaskofu wakemee????? Mafsadi wamekushinda, umeme hakuna maji hakuna. Rais gani hajui kutofautisha need and want?? tatizo kubwa ni kumpa uongozi mtu anayeaamini uchawi. Angalia kila aendako kiti chake cha ikulu lazima aende nacho sijui safari za ulaya. Umekisha kikwete

Duh! hiyo kali anabeba kiti kila aendako loh! Namhurumia maskini ameamini sana yale mambo ya ulinzi wa ziada!
 
I am very sure kama uwanja huu ungejengwa sehemu nyingine au kama ingekuwa ni chama cha upinzani kimekuja na kauli hiyo humu ndani response ingekuwa ni positive. International or otherwise, Rukwa kama sehemu nyingine ya nchi wanahitaji miundo mbinu na Airport. Hoja kwamba hakuna watu watapanda ndege ni dhana tu kwani huwezi kujua hilo mpaka kuwe na ndege na huo uwanja. Wacha maendeleo yawe de-centralized kwa maendeleo ya nchi yote.

Sasa na wewe uwanja wa tope ndio uwanja huo?
 
kwanza nauli tu ya ndege bongo anasa!!
sasa niambie nani wa kwenda mpanda kufanya nn kwa nauli gani?
pili,mbona kuna sehemu zilizotakiwa kupewa kipaumbele toka kitambo na zimeachwa zinaozea tu utajiri wao?
eti utalii!!iko wapi Ruaha?selous,mbeya,bagamoyo nk nk?

matope watupu awa
 
aha! si hasa za kwetu.........akija waziri mkuu au presidaa toka Tabora......tutakuwa na project hiyo huko.........then akija toka IR .....tunahamishia huko..................akitoka Kagera ....................tunahamishia huko. Ni mwendo wa viporo vya miradi mpaka cycle ije tena ya PM au Presidaa atoke sehemu hiyo, then project inafufuka.
 
Akili za Stone agers bana. Sasa kwanini wassimarishe kiwanja cha Mbeya? Hivi hata ile barabara ya Tunduma - Mpanda imeshamalizika? BTW, Viwanja hivo ndege zenyewe ziko wapi?
Ndugu yangu ndege zinakuja ila nembo imeshafika. ametuletea mhe. Mataka kabla hajastaafu!
 
CCM jamani ni kweli kabisa kwamba haina watu wenye akily kuweza kuona nje ya upuuzi huu au nini haasa kinawapata ?

wanajua kabisa wanachofanya ni upuuzi,kwa sababu zinazoeleweka kwao tu ndiyo maana wanatenda kinyume na fikra zao
 
hao ni wachakachuaji tuu watajipangia mahela mengi kwa ajili ya maandalizi mwisho wa siku uwanja hauishi wizi mtupu.............................baadae wataanza ooo bajeti ni wachakachuaje tu haooo
 
Nadhani huu ni mpango wa mtoto wa Mkulima. Anataka baada ya miaka 5 baadaye apate ka-uwanja ka ndege ka kusafirishi mazao yake as for now barabara ni mbovu sana. na treni haiaminiki
 
Akili za kuigiza majina International airport !uwanja wa ndege ni muhimu lakini kwa kiwango gani? ndege ngapi zitatua kwa saa kama sio ndege mmoja ndogo kutua kwa mwezi,na ndege ya Raisi mara mmoja kwa mwaka ?Gharama za kuujenga na kuuendesha kimataifa zitatoka wapi?Acha kuchezea uchumi wa nchi,weka pesa za walipa kodi kwa yale yatakayosukuma maendeleo ya taifa letu mbele.
Msishangae sana, akili za sido! Yale yale ya ''It's Our Turn to Eat''.
 
Hahahhah dah hawa jamaa hawachoki kutufanya mazuzuzu.

Hivi Sasa Politically Tanzania Ina international Airport Kuzidi Kenya na Uganda. But technically............

Itabdi Serikali ikae kikao na wachawi iwaombe waunde ndege zao amabzo zitatumika kwa binadamu. Hizo ndege za wachawi ndo zitatumia viwanja vingine la sivyo watahesabu mwewe tu

BTN
Mleta mada aksante kwa Heading yako maana nimejkuta ka hata kabla sijasoma content. Nilivyofungua na kuona picha mpaka watu wakanishangaa kuwa nimekuwa chizi. This is more than a joke.:becky::becky::becky::becky::becky: . Only Made in Tanzania . Coming soon Kigoma like Dubai
 
Ngugu Wananchi, Si ajabu uwanja kuwa hapo maana hata wachawi wana ndege zao. Watatua hapo kila usiku...
 
Back
Top Bottom