Come on Divas give us a break !

Nnachojua wanawake ni sawa na tumbo. Hawana shukrani. Wala usijidanganye et nikimnunulia iphone ya kilo nane ndio atakuwa faithful kwako. Hapa mwenyewe niko baa napunguza stress.
Nilitumiwa sms
"Baby nataka tule wote x mass ntumie nauli, nkatuma 100,000/-. Mpaka sasa hata simu zangu hazipokelew wala nini."
this bichz aint loyal
 

baambie baelewe habo batoto banatuchanganya sana i see! today there're is no true love but love business...tutakomaje!
 
Hiyo kweli ni shida........hata mimi ilishawahi nitokea lakini nikawaza mrejesho........itakavyokuwa baadae........nikaona isiwe tabu.......sasa hivi ni best boss ever..........

mara chache sana mrejesho wa mwanaume kuwa negative kwenye tongozo labda kama kuna mahali umekosea....
 

hahahaha! pole sana mkuu, ndiyo ukubwa huo. hawa wanawake ni viumbe wa ajabu kutoka nchi ya wagagagigikoko...tunaishi nao basi tu kwa 7bu wanagea papuchi, vinginevyo sijui hali hii ingekuwaje.
 
Easy tu mr. ukiona huwezi acha wapo wanaoweza wazee wa vijisenti...
 

ha ha ha ha ha ha ha.....watoto wa mjini wanasema umepigwa....changa la macho
 
ha ha ha ha...lol.
Hawa viumbe ukiwachezea waweza umwa gonjwa lisilopona..!
 
uwe unalipa kidogo.....hata sisi tunachagua sio kila anaejitongozesha tunapiga........
Labda kama haijakusimama nyuzi 90° "Mwanaume ni kama fisi hata mzoga anakula" dushe ikishakusimama hata chizi wa barabarani unapiga tu
 
Labda kama haijakusimama nyuzi 90° "Mwanaume ni kama fisi hata mzoga anakula" dushe ikishakusimama hata chizi wa barabarani unapiga tu

kwahio ukija kujitongozesha tu tayari iko nyuzi 90!!! hadi tufike stage ya kuwa nyuzi 90 nisharidhika na wewe...
 
kwahio ukija kujitongozesha tu tayari iko nyuzi 90!!! hadi tufike stage ya kuwa nyuzi 90 nisharidhika na wewe...

Hata vichaa mnaridhika nao ndo maana zinawasimama...na mnawamimba kabisa
 
Siwezi kukuomba kitu ambacho sina uwezo nacho.
Na wewe kama waona 800k ni issue achana nae tafuta wa kuwahonga mapera.
Vaa kiatu size yako.

hahaha...nimekupenda bure mamito safi sana umeongea fact...mwanaume huna uwezo hata wa kunipa elfu 50 mi wa kazi gani afu unataka papuchi...kudadadeki hii papuchi itakuwa na kazi moja tu ya mie kukojoa km una mkono mfupi..mjini pesa mapenz kwa mama yako
 
professor anasema.... unampa tu mkuuu .. c ndo umependaaa
 

hahaha...pole mkuu ushaliwa hapo umenichekesha eti thz bichz aint loyal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…