Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,088
- 8,221
Nimeisoma yote ila nimegundua hawa jamaa wametuzidi kwa kila kitu. Unaingia makubaliano na FBI usishitakiwe tena kwa maandishi na wao wanakubali. Huku bara giza polisi wakikukamata ni kichapo sana. Mfano. Ukaomba lifti kwenye gari kumbe gari lile limebeba bagi au cocaine, halafu likakamatwa na polisi nawe utakuwa mtuhumiwa.
I HATE TO BE BORN IN AFRICA
I HATE TO BE BORN IN AFRICA