Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pamoja mkuu ntakua nafanya hivoPamoja mkuu endelea kutema manuva kama haya watu kama wewe ndio mnahitajika kuleta changamoto na uchangamfu kwenye jukwaa kama hili uwe unanitag mkuu.hongera sana.ila huyo mwanamke anatabia za kitanzania hapo kwenye Mali.
ntafanya hivo mkuuAhsante mkubwa umeifanya Monday yangu kuwa yenye furaha.
Next time naomba uniongeze kwenye tag list yako kaka
usijali mkuuImekaa vizuri sana big up mkuu niongeze kwenye tag list yako ikiwezekana nisikose post zako
doneOngeza mm hapo
noted mkuuNiongeze kwenye tag plz
ni kweli mkuu, uhalifu kama huu huvisumbua sana vyombo vya usalamasasa hawa ndiyo wahalifu hasa wanatumia akili nyingi
Hahahahahah ni kweli mkuu!Shukran kwa mara nyingine tena, huwa sichoki maandiko yako. Bila shaka wewe ni The bold katika ID mpya ya Mark pawelk