carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,616
Uzi hauendi kwelinacheka kama mazuri ujue


Hivi Numbii ni mgomvi eenh![]()
Isijekuwa acc imedukuliwaanalijua hilo ujue watu wengi wameliona

Sijawahi kukutana nae ujue ila kuna siku celebrity nilimuona anatoleana povu na mtu niliwaacha hata sijui iliishiajeachana na Numbisa wewe
Basi baki hapahapa tuWamenizira kule maana wakizidi nawarushia picha tu baassii poovu hiloo linalowatoka duh unasafisha JF nzima korido hadi vyoo vyake
Siwezi bhana jibu si unaloMuulizeni yale maswali yenu sasa huyo kaja![]()
Kule kwenye kujifunza.Wapi![]()
![]()
Wamenizira kule maana wakizidi nawarushia picha tu baassii poovu hiloo linalowatoka duh unasafisha JF nzima korido hadi vyoo vyake







Muulizeni sasa![]()
Ngoja tusubiri jibu atakalokujibu kwanza ujue sisi watu wazimaMuulizeni sasa![]()
Basi baki hapahapa tu
We muache kabisa. Level nyingine hiyooHivi Numbii ni mgomvi eenh![]()
huku atanyonyolewa kama kukuMmh hii kesi kichwa umemleta kwa warembo kweliii!!!
Mnanisahau sana wajameni nimechelewa sana ngoja nirudi ukurasa wa kwanza
Pamoja na hichi kiofisi chetu kipya.Wamenizira kule maana wakizidi nawarushia picha tu baassii poovu hiloo linalowatoka duh unasafisha JF nzima korido hadi vyoo vyake

Huku siko kuna uzi mwengine kama huu ndo interview inaendeleaMnanisahau sana wajameni nimechelewa sana ngoja nirudi ukurasa wa kwanza