Wakumbushie kuwa ARV zenyewe ni feki.
link https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/327102-hili-la-arv-feki-limekaaje-wadau.html
Hapo chacha!
Wakumbushie kuwa ARV zenyewe ni feki.
link https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/327102-hili-la-arv-feki-limekaaje-wadau.html
Wakwangu yuko busy kwenye Uamsho
Sijui kubebana na kufanya mapenzi ni maneno sawa!
Hivi michanga ikiingia kwenye ndude hakuna madhara??
we unadhan giraffe unaingia tu kama unavyoenda coco?
Kudadadeki...!!! sitakaa kupasahau Ndege Beach kule Mbweni,
Nilichapwa bakora na wanajeshi,eti kisa tunaogelea usiku baharini.
giraffe pazuri sna ila wahudumu madalali sana kuna biashara haramu pale ila meneja hajajua coz nilikaapale wk nikagundua kuuliza walinzi wakanipa full data.ila pako poa sana tatzo wahudumu mapokez madalali wa vyumba ukiwa na demu.