Club Billicanas. Before then

Club Billicanas. Before then

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,397
Reaction score
829,707
Nilishiriki huu ukarabati kwa kila hatua..halafu ....


IMG_20210430_050150.jpg


Ground floor
 
Sikumbuki this appearance ilikuwa by when? Ninachokumbuka kuna wakati John Dillinga Matlou (DJ JD) aka everlasting DJ aliwahi kuwa mmoja wa DJz waliopiga hapo kabla ya kuunda Powerful 4 na akina DJ G love. Ilikuwaga ni balaa sana ......jamaa anaujua muziki na anajua kucheza na mashabiki.... scratching, cutting ad lips hasa kwenye R&Bs na Hiphop...ilikuwa kali sana nilikuwa sikosi weekend kuwapo hapo.

Nakumbuka mara ya mwisho kuingia ni miaka ya 2010 -2014 hv.

Lkn pia kutokea club kama Billicanas/Mawingu/Triple A/Moro Hotel etc. ni ngumu kwa sasa maana lounge zimechukua nafasi ya clubs, so people wanaamua kuwepo lounge zaid kuliko clubs ambazo nyingi zimejaa watoto na utoto wao.
 
Sikumbuki this appearance ilikuwa by when? Ninachokumbuka kuna wakati John Dillinga Matlou DJ JD aliwahi kuwa mmoja wa DJz waliopiga hapo aisee ilikuwaga ni balaa sana ..jamaa anaujua muziki na anajua kucheza na mashabiki.... scratching, cutting ad lips hasa kwenye R&Bs na Hiphop...ilikuwa kali sana nilikuwa sikosi weekend kuwapo hapo.

Nakumbuka mara ya mwisho kuingia ni miaka ya 2010 -2014 hv.

Lkn pia kutokea club kama Billicanas/Mawingu/Triple A, Moro Hotel etc. Ni ngumu kwa sasa maana lounge zimechukua nafasi ya clubs, so people wanaamua kuwepo lounge zaid kuliko clubs ambazo nyingi zinakuwa zimejaa watoto na utoto wao.
Ni katika kipindi hicho baada ya ukarabati mkubwa ndio ikaja ku hit sana
 
Back
Top Bottom