Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,303
Nilijua tu lazima uje na jibu kama hili - Vipi kule polisi nini kinaendelea jamaa ameshatoka au bado wanaendelea kumhoji?Sio msikilizaji wa hiy radio... so No commment kuhusu hilo swala
Nilijua tu lazima uje na jibu kama hili - Vipi kule polisi nini kinaendelea jamaa ameshatoka au bado wanaendelea kumhoji?Sio msikilizaji wa hiy radio... so No commment kuhusu hilo swala
Nilijua tu lazima uje na jibu kama hili - Vipi kule polisi nini kinaendelea jamaa ameshatoka au bado wanaendelea kumhoji?
Uzuri wake craus na yenyewe inazidi kunyauka hapa dar siku hadi siku na mnyaushaji mkuu ni EFM.
Mwakani craus itakuwa ya nje ya dar tu maarufu kama mikoani.
Mkuu hiyo craus Redio mpya nini? Iko frequency gani?
Naona kama nikiandika craus ndio inanoga vizuri kuliko nikiandika clouds fm.
Crauuuuss efueeemm
Acha uzushi wewe.
Mnapenda sana kuisingizia Clouds vitu vingi.
Hivi una software ambayo umeiseti ikiletwa thread ya clouds tu iku-arlet?
Maana hii si kawaida kwa kweli.
nyie semeni clouds mbwa gani
ngoja wasipige kweli nyimbo zake ndo mtajua km ni mbwa au nguruwe ktk tasnia ya mziki hapa bongo
mi yangu macho na maskio tu
tz hii ukitaka jina pigia magoti ruge unless imekula kwako mkubali mkatae
labds efm nao wajipange kweli kuja kuwapoteza and it will take time
Uzuri wake craus na yenyewe inazidi kunyauka hapa dar siku hadi siku na mnyaushaji mkuu ni EFM.
Mwakani craus itakuwa ya nje ya dar tu maarufu kama mikoani.
Hivi hii EFM ni ya nani mkuu!
nyie semeni clouds mbwa gani
ngoja wasipige kweli nyimbo zake ndo mtajua km ni mbwa au nguruwe ktk tasnia ya mziki hapa bongo
mi yangu macho na maskio tu
tz hii ukitaka jina pigia magoti ruge unless imekula kwako mkubali mkatae
labds efm nao wajipange kweli kuja kuwapoteza and it will take time