Catherini
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 390
- 154
Teh teh......kama ulivyokodiwa wewe
Kinawaumaaaaaaa
Teh teh......kama ulivyokodiwa wewe
Njoo tu-tune TBC 1 kipindi cha mama na mwana,
Clouds tupa kuleee
Mtoto wa mama anayemiliki Maisha Club pale obey ndo mniliki wa efm. Bado ana safari ndefu sana ya kushndana na hao manyang'au wa burudani hapa bongo. Kwan kuna matajiri kibao wenye radio naona bado mananyanyasika sana mbele ya hao manyan'gau.
Radio kama Times, Magic na east africa radio fm zinamilikiwa na matajiri wakubwa sana hapa bongo zaidi ya huyo dogo mara 100 lakini bado zinalambishwa mchanga mbele ya hawa ma-don wa craaaaadzzzzz eeeffeeem..
clouds wanatumia wasaani halafu baaaasi.kama tissue paper vile.(use and dump)
We ulitaka wafanyeje? huo ndo mfumo wa maisha kwa ujumla wake. Usipojitambua lazma utumike.
Utajiri wote wa dunia kumilikiwa na watu wachache ujue kuna masikini wengi wamenyonywa. Hiyo ni fomula ya utajiri wala sio kosa la clauz. Waliona fursa wakaitumia, kazi ni kwako wewe masikini kutafuta namna ya kutoka kwa kuwanyonya masikini wenzio.
Hamumtaki wewe na nani?Asa kwanini wanampandisha kibakuli kwa lazma hata kama hatumtaki
Hamumtaki wewe na nani?
Hii ndiyo Tanzania bwana mtu hakosei kisa yuko juu mi nijuavyo ukizomewa unatakiwa ukune kichwa ujue uliwakosea wapi wateja wako uparekibishe na siyo kutafuta mchawi diamond yuko juu ana njuru za kutosha ajaribu kutoa hata pesa kidogo tu awape watafiti wa music wamwambie shida iko wapi.Kwanini maoni ya waliozomea hayaheshimiwi jamani?
Naona kama nikiandika craus ndio inanoga vizuri kuliko nikiandika clouds fm.
Crauuuuss efueeemm
Tangu nimeanza kusikia Clouds inakufa sijui huu mwaka wa ngapi