Ney wa Barca
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 310
- 36
sasa ww umekodiwa na nani kufanya uchunguzi na unalipwa shilingi ngapi?.........mbuta nanga...Kitorondo Vs mwana
Sio msikilizaji wa hiy radio... so No commment kuhusu hilo swala
Nilitaka kusema yawezekana diamond ameweka masharti mapya! Ambapo wa tz wengi wakiwemo wasanii hatuna ujuzi nao! Radio station ikipiga wimbo wako lazima msaniii ulipwe kama ambavyo ulipwa stejini! Chezea intanashional star
hata ile EFM wanajitahidi sanaJoe Kusaga ana redio moja tu ya maana ni choice fm basi na ndio ya kusikiliza music yenye akili.
Njoo tu-tune TBC 1 kipindi cha mama na mwana,
Clouds tupa kuleee
Bora aiseee clouds mbwa gani banaaaa
Bangi za kuvutia chooni hizi, Domo ndio anawalipa redio presenter ili wampe airtime ya kutosha.
Ulisha wah kujiuliza kwanin radio za kenya mara nying wanapenda kupiga nyimbo za tz? unapo piga nyimbo zao hcho kituo cha radio ndiyo kinamlipa msanii na siyo msanii kulipia station ya radio!
hutaki acha sirudi tena
hata ile EFM wanajitahidi sana
Kwa vile anajua mziki asimame kwa miguu yake tu atafka mbona Jide nyimbo zake hazipigwi na clouds still ana shine acheni kuwaandama clouds
Ina maana hao craus mimi hawakunipa mgao wangu!
Kwa sababu hata mimi nilimzomea dimondi tena kwa mapenzi yangu mwenyewe na si kwa kushinikizwa na mtu,
ingawa huwa sisikilizi redio lakini kwa hili team lidomo mnatafuta mchawi tu ilhali mchawi ni ndomo mwenyewe na si redio mawingu.
Hebu nipe frequency niziseti.
Uzuri wake craus na yenyewe inazidi kunyauka hapa dar siku hadi siku na mnyaushaji mkuu ni EFM.
Mwakani craus itakuwa ya nje ya dar tu maarufu kama mikoani.