happy death day DIKTETA(DK) KIKWETE
Ikitokea JK kafa leo, utakuwa mtuhumiwa namba moja. Tujiepushe na kauli kama hizi.
happy death day DIKTETA(DK) KIKWETE
Kuna mwanamuziki alishaimba kuwa clouds imejaa mashoga. Naanza kuamini ss!
Mzee wa datas kumbe hata kughani hizi bongo fleva unajua siyo? Hiyo mistari imenifurahisha sana ila umesahau beti za kura za maoni mkoa wa kati ya Tanzania hukuziwekea mistari. Karibu mkuu.
- Kwani Bilicanas wakimfanyia party Jk ya birthday atakataa kwenda?
Es!
seeing the photos najiuliza ni mara ngapi akina eminem, jay-z ryan seacrest, richard quest wanaweza kuingia kwenye b'day ya obama... au akina domino, nonini na nyota ndogo wanenda kwa kibaki kula besdei
surely priorities are different
you missed my point...- Ndio matatizo yetu wabongo, kwani ni Rais wa nani si wananchi? Sasa hawa kina Jay-z na Eminem sio wananchi mara ngapi tumeona Obama akicheza mpira na kina Duhon, hivi hujamuona Obama na Kanye West wakati wa kuapishwa kwa Urais wake, tena anakula muziki wake!
- Halafu from all the examples Kibaki aliyeiba uchaguzi mchana wote tunaona ukaona ndio mfano unaofaa! ha! ha! ha!, sometimes mnaboa sana na hizi never ending unnecessary rants!
Es!
wewe kuna mtu humjui? chapa lapa dogo, piga gia ufikishe mzigo
- I see ninaijua Clouds toka ikiwa ya Justin kaka yake Joe alipotoka Holland kusoma long time ago na Joe alipotaka kutengeneza Album ya kwanza inayoitwa "Hoya Msella" in 1992 I worked with him in New York na DC kwa hiyo haya sibahatishi, na hawa vijana wa Bongo-Flev ndio wapiga kura wenyewe, sasa nashangaa strategy ya kuwatukana ni dalili za mfa maji au kukata tamaa, again ninasema hivi kama kweli Wapinzani wako serious waungane sasa!,
- Mfano mzuri ni visiwani, wananchi wote wanajua upinzani ni CUF tu ndio maana wana nguvu za ajabu na sasa wataingia kwenye serikali ya pamoja! Bara tutaendelea kurushiana maneno yasiyokuwa na faida kwa taifa mpaka mwisho wa dunia ushindi hakuna!
Es!
wewe kuna mtu humjui? chapa lapa dogo, piga gia ufikishe mzigo
ni kweli kabisa... tofauti na wale wa ukweli, siku zote academia wana shida sana
- Ndio faida ya kukulia mjini no apologiez for that!
Es!
Mimi sina tatizo hata Matonya akiingia kwenye party ya JK, JK ni rais wa wote na watanzania wote ni sawa katika utanzania wao, hatuna watanzania wa daraja la juu na wengine watanzania wa daraja la pili.
Tatizo langu ni journalistic integrity ya Clouds FM.
Clouds FM cannot claim impartial journalistic integrity when it comes to Kikwete and CCM. Not after this.
I mean they were pretty open about it, but now it is official.
Kuna katuni moja inamuonyesha Kikwete kakaa katika kiti cha Usultani, halafu kuna watu wanamsujudia, muungwana mmoja akauliza hivi waandishi habari wako wapi waje ku cover hii habari/ Akaambiwa hao wanaomsujudia ndio waandishi wa habari.
Aliyesema yule mchora katuni aliongeza chumvi kadhihirishiwa vinginevyo na hii party.
ni kweli kabisa... tofauti na wale wa ukweli, siku zote academia wana shida sana
- Sidhani kama kuna tatizo, FOX NEWS kuwa Conservative na MPR kuwa Liberally ni uamuzi wa msikilizaji, Clouds wako free kuamua what they want to be, msikilizaji ndiye muamuzi maana you know what you are getting yr self into unapo-watune in!
Es!
- Ndio faida ya kukulia mjini no apologiez for that!
Es!
Udhe mpango wako wa kuwasaidia watansania kupata kasi nje ya nchi umeishia wapi? Naona ulipotea kabsaaa baada ya kukosa mtu wa kutapeli. Fanya kasi nduku yangu wacha ufifu na utapeli. Umesoea fya kunyonga sio?
Sina tatizo na radio kuwa Conservartive au Liberal, lakini hata hao uliowataja (Fox News na NPR) hawajafikia kiwango cha kumfanyia birthday Bush au Obama.
Clouds wako free kuamua kuwa biased, sijasema hawana haki ya kuwa biased, ninachosema ni kwamba wamekosa "impartial journalistic integrity". Huwezi kusema una bias ya CCM halafu hapo hapo ukasema uko impartial na unaweza kuwaambia wananchi habari za kampeni kikamilifu bila motive ya kutaka CCM washinde.
Clouds imejidhihirisha rasmi kama redio ya CCM na watanzania wengine tunaotaka habari zisizo na bias hatuwezi kuwatilia maanani.
Wewe ES una bore sana na kujifanya kila kitu unajua na kusuport visivyo!Clouds iko so bias esp this tym of general election!they should't be
coz wanapotosha!