Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Nifahamucho JK hujiona yupo nyumbani kwenye sherehe labda Dr. Slaa amfikirie u-Emcee kwenye sherehe yake ya kuapishwa hapo mapema Novemba. Vinginevyo amfikirie JK kuwa Master of Ceremony hapo Ikulu angalau tuwe tunaona minenguo yake ya uzeeni. Ninashindwa kuelewa kwa nini Mkapa hakumteua JK kuwa waziri wa burudani badala ya kumpatia wizara nzito ambazo zote alikuwa hajui afanye nini!