Happy birthday, Mr. President!
Hafla fupi ya rais kikwete akisherehekea siku yake ya kuzaliwa usiku wa kuamkia leo
Friday, October 8, 2010
Keki safi kabisa ikimeta meta kabla ya kukatwa.
Rais Jakaya Kikwete akimlisha keki mmoja wa wajukuu zake usiku wa kuamkia leo kwenye hafla ya kuzaliwa kwake iliofanyika katika viwanja vya taasisi ya WAMA.,kulia kwake ni Mama Salma Kikwete.
Rais Jakaya Kikwete akimlisha keki mkewe Mama Salma Kikwete usiku wa kuamkia leo,Mh Jk usiku wa kuamkia leo alikuwa anatimiza miaka 60.
Rais Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Clouds Media Group,Bw.Joseph Kussaga usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya taasisi ya WAMA,jijini Dar.
Rais Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa kampuni bingwa ya burudani hapa nchini,Prime Time Promotions Ltd,Juhayna Ajmi.Rais Kikwete alipita kila meza kusalimiana na wageni waalikwa waliofikwa kwenye hafla yake fupi ya kusherehekea kuzaliwa kwake usiku wa kuamkia leo.
Wafungua shampeni wakiwa tayari kufanya vituuuzzz.
Rais Kikwete na Mkewe mama Salma Kikwete wakitakiana afya njema kwa kucheeers mbele ya wageni waalikwa usiku wa kuamkia leo,Rais Kikwete alikuwa akisherehekea siku yake maalum ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 60.
JK akitoa shukurani kwa wageni waalikwa waliofika kwenye hafla hiyo na kwa waandaaji pia wa shughuli nzima kwa usiku ule.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh Ally Hassan Mwinyi akiwa ameongoza na Mh Pius Msekwa wakimpa mkono wa pongezi Mh Jakaya Kikwete kwa kutimiza miaka 60 tangu kuzaliwa kwake.
Waziri Mkuu,Mh Pinda akimpa mkono wa pongezi Rais Jakaya Kikwete.
Mtoto wa Rais Kikwete,Ridhiwani Kikwete akimpa zawadi baba yake na pia kumpongeza kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake,kwenye hafla fupi iliofanyika usiku wa kuamkia jana katika viwanja vya taasisi ya WAMA na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali.
Mwenyekiti wa Prime Time Promotions,Juhayna Ajmi na Mkurugenzi mtendaji wa makampuni ya Clouds Media Grpup,Joseph Kusaga wakimpa mkono wa pongezi Rais Kikwete pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete usiku wa kuamka leo.
Mtangazaji mahiri wa Clouds FM,Eprahim Kibonde akimkabidhi jezi ya timu ya Taifa ya Morroco Rais Kikwete ambayo wameitoa kama zawadi kwake.Timu hiyo itacheza na timu ya Taifa,Taifa Stars hapo kesho katika uwanja wa Taifa jijini Dar.
Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimpa zawadi Mumewe,Mh Kikwete.
Msanii mahiri wa kughani mashairi Mrisho Mpoto akitumbuiza kwenye hafla hiyo na wimbo wake w Adela uliowachangamsha wageni waalikwa waliofika usiku wa kuamkia leo kwenye hafla hiyo.
Bendi Kongwe ya muziki wa dansi ya Sikinde ilikuwepo kutoa burudani usiku ule kwenye hafla ya Rais Kikwete.
Baaap picha safi kabisa ya ukumbusho.Mrisho Mpoto akiwa amepozi na Waziri Mkuu Mh Pinda mara baada ya kutumbuiza kibao chake cha Adela.
JK na wageni waalikwa wakiburudika na makamuzi live ya wana Sikinde.
Vijana wa Mjengoni Clouds Media Group na wenyewe wakiserebuka kwa shangwe kabisa
Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Prof Jay pamoja na Mwana FA wakizungumza jambo na Rais Kikwete na pia kumpa pongezi za dhati kabisa kwenye hafla hiyo iliyokuwa ya kuvutia usiku wa kuamkia leo.
JK akizungumza na wanamuziki wa bendi ya Sikinde
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wana wa Clouds Media Group.
Wageni waalikwa kutoka Clouds Media Group,kulia ni Pitter Mo,Gadna G Habash,mmoja wa wa Wakurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd,Gofrey Mkama,Gerald Hando pamoja Mrope.
Source: Michuzi Jr.
Hafla fupi ya rais kikwete akisherehekea siku yake ya kuzaliwa usiku wa kuamkia leo
Friday, October 8, 2010
Keki safi kabisa ikimeta meta kabla ya kukatwa.
Rais Jakaya Kikwete akimlisha keki mmoja wa wajukuu zake usiku wa kuamkia leo kwenye hafla ya kuzaliwa kwake iliofanyika katika viwanja vya taasisi ya WAMA.,kulia kwake ni Mama Salma Kikwete.
Rais Jakaya Kikwete akimlisha keki mkewe Mama Salma Kikwete usiku wa kuamkia leo,Mh Jk usiku wa kuamkia leo alikuwa anatimiza miaka 60.
Rais Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Clouds Media Group,Bw.Joseph Kussaga usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya taasisi ya WAMA,jijini Dar.
Rais Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa kampuni bingwa ya burudani hapa nchini,Prime Time Promotions Ltd,Juhayna Ajmi.Rais Kikwete alipita kila meza kusalimiana na wageni waalikwa waliofikwa kwenye hafla yake fupi ya kusherehekea kuzaliwa kwake usiku wa kuamkia leo.
Wafungua shampeni wakiwa tayari kufanya vituuuzzz.
Rais Kikwete na Mkewe mama Salma Kikwete wakitakiana afya njema kwa kucheeers mbele ya wageni waalikwa usiku wa kuamkia leo,Rais Kikwete alikuwa akisherehekea siku yake maalum ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 60.
JK akitoa shukurani kwa wageni waalikwa waliofika kwenye hafla hiyo na kwa waandaaji pia wa shughuli nzima kwa usiku ule.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh Ally Hassan Mwinyi akiwa ameongoza na Mh Pius Msekwa wakimpa mkono wa pongezi Mh Jakaya Kikwete kwa kutimiza miaka 60 tangu kuzaliwa kwake.
Waziri Mkuu,Mh Pinda akimpa mkono wa pongezi Rais Jakaya Kikwete.
Mtoto wa Rais Kikwete,Ridhiwani Kikwete akimpa zawadi baba yake na pia kumpongeza kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake,kwenye hafla fupi iliofanyika usiku wa kuamkia jana katika viwanja vya taasisi ya WAMA na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali.
Mwenyekiti wa Prime Time Promotions,Juhayna Ajmi na Mkurugenzi mtendaji wa makampuni ya Clouds Media Grpup,Joseph Kusaga wakimpa mkono wa pongezi Rais Kikwete pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete usiku wa kuamka leo.
Mtangazaji mahiri wa Clouds FM,Eprahim Kibonde akimkabidhi jezi ya timu ya Taifa ya Morroco Rais Kikwete ambayo wameitoa kama zawadi kwake.Timu hiyo itacheza na timu ya Taifa,Taifa Stars hapo kesho katika uwanja wa Taifa jijini Dar.
Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimpa zawadi Mumewe,Mh Kikwete.
Msanii mahiri wa kughani mashairi Mrisho Mpoto akitumbuiza kwenye hafla hiyo na wimbo wake w Adela uliowachangamsha wageni waalikwa waliofika usiku wa kuamkia leo kwenye hafla hiyo.
Bendi Kongwe ya muziki wa dansi ya Sikinde ilikuwepo kutoa burudani usiku ule kwenye hafla ya Rais Kikwete.
Baaap picha safi kabisa ya ukumbusho.Mrisho Mpoto akiwa amepozi na Waziri Mkuu Mh Pinda mara baada ya kutumbuiza kibao chake cha Adela.
JK na wageni waalikwa wakiburudika na makamuzi live ya wana Sikinde.
Vijana wa Mjengoni Clouds Media Group na wenyewe wakiserebuka kwa shangwe kabisa
Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Prof Jay pamoja na Mwana FA wakizungumza jambo na Rais Kikwete na pia kumpa pongezi za dhati kabisa kwenye hafla hiyo iliyokuwa ya kuvutia usiku wa kuamkia leo.
JK akizungumza na wanamuziki wa bendi ya Sikinde
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wana wa Clouds Media Group.
Wageni waalikwa kutoka Clouds Media Group,kulia ni Pitter Mo,Gadna G Habash,mmoja wa wa Wakurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd,Gofrey Mkama,Gerald Hando pamoja Mrope.
Source: Michuzi Jr.