Clouds Media wamwandalia Kikwete Birthday 2010?

ukiwaona wageni waalikwa (marafiki wa JK) huwezi kushangaa kwanini jamaa huwa anadanganywa kirahisi sana na "wasaidizi" wake
 
HAPPY B/DAY JK, UMRI NDO UNASOGEA HIVYO, IBADA NA KUTUBU NI MUHIMu
 
Duu!!!!! Kwa hela zetu wanazoiiba wanaandaa sherehe kubwa kama hizo. Kweli Mungu atujalie tumpate rais anayejali kuteseka kwa watu wake kwa sababu ya umasikini. Ni bahati mbaya kuwa huyu jamaa (jk) hajui kwa nini watz ni masikini. Hivyo hawezi kujali matumizi makubwa ya hovyo2 anayoyafanya ili hali wadanganyika wengi wanakufa kwa njaa, maradhi na umasikini ukiokubuhu.

Inasikitisha kuona wakati akina mama wanateseka mahospitalini, kutafuta maji, vitendea kazi shuleni,barabara mbovu nk mkulu anawaalika akina kibonde, gardna, kusaga, pinda, mnafiki msekwa, mwinyi nk kuja kuteketeza hela za walipa kodi. What a shame to my country!A country whose president doesnt know the root cause of its absolute poverty, a country of indulgence by its president, ministers and government executives who are the otherwise small group of mites feeding in whole national cake alone.

Roho inaniuma sana!:wink2:
 
Duu!!!!! Kwa hela zetu wanazoiiba wanaandaa sherehe kubwa kama hizo. Kweli Mungu atujalie tumpate rais anayejali kuteseka kwa watu wake kwa sababu ya umasikini. Ni bahati mbaya kuwa huyu jamaa (jk) hajui kwa nini watz ni masikini. Hivyo hawezi kujali matumizi makubwa ya hovyo2 anayoyafanya ili hali wadanganyika wengi wanakufa kwa njaa, maradhi na umasikini ukiokubuhu.

Inasikitisha kuona wakati akina mama wanateseka mahospitalini, kutafuta maji, vitendea kazi shuleni,barabara mbovu nk mkulu anawaalika akina kibonde, gardna, kusaga, pinda, mnafiki msekwa, mwinyi nk kuja kuteketeza hela za walipa kodi. What a shame to my country!A country whose president doesnt know the root cause of its absolute poverty, a country of indulgence by its president, ministers and government executives who are the otherwise small group of mites feeding in whole national cake alone.

Roho inaniuma sana!:wink2:
Mkuu afadhali ya huyu kulikoni ya Mugabe alitumia dola laki sita na kuwaita akina mbeki na marais wengine kwa kodi za wanazimbabwe.
 
Duu!!!!! Kwa hela zetu wanazoiiba wanaandaa sherehe kubwa kama hizo. Kweli Mungu atujalie tumpate rais anayejali kuteseka kwa watu wake kwa sababu ya umasikini. Ni bahati mbaya kuwa huyu jamaa (jk) hajui kwa nini watz ni masikini. Hivyo hawezi kujali matumizi makubwa ya hovyo2 anayoyafanya ili hali wadanganyika wengi wanakufa kwa njaa, maradhi na umasikini ukiokubuhu.

Inasikitisha kuona wakati akina mama wanateseka mahospitalini, kutafuta maji, vitendea kazi shuleni,barabara mbovu nk mkulu anawaalika akina kibonde, gardna, kusaga, pinda, mnafiki msekwa, mwinyi nk kuja kuteketeza hela za walipa kodi. What a shame to my country!A country whose president doesnt know the root cause of its absolute poverty, a country of indulgence by its president, ministers and government executives who are the otherwise small group of mites feeding in whole national cake alone.

Roho inaniuma sana!:wink2:


NA ROHO ITAZIDI KUKUUMA SANA PALE KIKWETE ATAKAPOAPISHWA TENA KUONGOZA NCHI HII.
Kwa jinsi ilivyo humu duniani, wale watu usiowapenda kuwaona au kuwasikia ndio wanaofanikiwa ili wee roho ikuume. Ili kupunguza maumivu ni ukampenda kikwete ili akiwa rais uwe ni miongoni watakaofurahi
 
celebrity birthday.
naona clouds ndo walipewa kuiandaa hiyo kitu.
clouds mmejikita ktk burdani ya wizi wa kazi za wasanii na no wonder mkulu anawafagilia maana mnafit kwenye criterias zake
 
NA ROHO ITAZIDI KUKUUMA SANA PALE KIKWETE ATAKAPOAPISHWA TENA KUONGOZA NCHI HII.
Kwa jinsi ilivyo humu duniani, wale watu usiowapenda kuwaona au kuwasikia ndio wanaofanikiwa ili wee roho ikuume. Ili kupunguza maumivu ni ukampenda kikwete ili akiwa rais uwe ni miongoni watakaofurahi

pole sana!
 
kaburunye umesema! japo ana uhuru wa kuchagua amualike nani,but waswahili walisema ndege wafananao huruka pamoja. Hapo alialika watu wa ku-party tu! happy b'day
 
Clouds Media Group...Happy Birtday Presidaa

Kibondeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! mzee wa kujitapa,mara ooh mi nazungumza ukweli,nasimamia haki. kumbe haki yake inshanunuliwa na njaa zake. hoja zote zinazohusu mkulu huwa anakomaa kuzijibu kwa gharama zozote zile! naona na boss wao akijikombeleza kwa bidii. mtasema yooooooooooote ila media na njaa haviendi pamoja, jana ameshadadia sana report ya redet . i wish ningefuta 88.4 in my radioz.
 
namwaka huu anatimiza miaka 60? mwaka jana amesherekea miaka 60!!!
 
kibonde ndo alikuwa mc


siku hizi mama kikwete haoni!!!? naona amevaa mawani au anaweka 'nyago'(sura) yake fresh apendeze!!
 
Back
Top Bottom