bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Haifanyiki hyo kwa sababu za kiinteligensia.
Unauliza Bashite au atakae zindua Usafiri wa Angani.Huyo uliemtaja ni nani?
Mchungaji awe mgeni Rasmi Fiesta?Tetesi kuwa bifu huenda likafika mbali kwani clouds safari hii wamewapa ugeni rasmi wakuu wote wa mikoa inakofanyika kasoro mkuu wa Dar.. Tetesi ni kuwa fiesta Dar mgeni rasmi atakuwa mchungaji moja atakaezindua usafiri wake binafsi mpya wa angani.
Mnaoleta hizi tetesi mnataka Fiesta isifanyike Dar. Lazima mtakuwa maadui wa CMG.Tetesi kuwa bifu huenda likafika mbali kwani clouds safari hii wamewapa ugeni rasmi wakuu wote wa mikoa inakofanyika kasoro mkuu wa Dar.. Tetesi ni kuwa fiesta Dar mgeni rasmi atakuwa mchungaji moja atakaezindua usafiri wake binafsi mpya wa angani.
Bashite ndo mwenykiti wa ulinzi wa mkoa,