Hey! wakuu sioni sababu ya kujadili suala la Kibonde na mwenzake. Let us concentrate on serious issues.
Kibonde ni mtengeneza habari, ni mtu maarufu, ana wasikilizaji wengi Dar-es-Salaam au Tanzania, huwezi kumdharau.
Awe amesoma, hakusoma, anaongea pumba, hajui kitu, anavaa mashati kijani, meusi, mwisho wa siku ana wasikilizaji wengi, kuna Watanzania anawahubiria, na wanamsikiliza kama Kakobe. Kwani Kakobe kasoma nini? Huwezi kumdharau Kibonde.
Hivi Ephraim na Gardner wana elimu gani(off topic)???,wanayo elimu ya Uandishi wa habari??...Sometimes tuwe tunaangalia na uwezo wao wa kielimu..Unaeza kuta si kosa lao....................
Nlifikiria mletaji wa post hii angelituwekea hicho walichosema hasa. Mimi nahisi kuna ukweli wa waliyoyaongea kwa kiasi hicho hicho mleta post hii alichotujuvya.
Na majibu yaliyofuata baada ya post hii, mengi yao yameakisi kule kule kwanye madai ya walalamikiwa ie Kibonde na Gadna, watu badala ya kujadili uhalali wa madai yao, wamekwenda kwenye vitu visivyonamsingi wowote kwenye hoja yao au malalamiko yao, masuala ya elimu, nani kawatafutia kazi za utangazaji, itikadi zao za siasa hazihusu kitu kwenye mada hii au madai waliyoyatoa zaidi ya kuthibitisha kile wanachokilalamikia humu jamvini. Hayo ndiyo yale mambo binafsi wanayolalamika kuwa jamvini humu yanashikiwa bango kuliko hoja za maana.
Sote tunakumbuka majadala wa kipuuzi uliowahi kuletwa humu jamvini kuhusu "ukabila" wa mwanamziki nguli, Lady jaydee. Mjadala ule ni wazi kuwa uligusa maisha yake binafsi zaidi kuliko mambo mengi ya maana ambayo unaweza kumuongelea mtu kama Jay dee, ukabila wa mtu ni mambo yanayomhusu mwenyewe unless otherwise, ameyaweka mwenyewe katika mjadala wazi unaoleweka na siyo mtu akurupuke tu kuja na mada ihusuyo mambo ya mtu kujisifia tu kwa raha zake.
Nionavyo, watu humu wabadilike, waache kujifanya kujuwa kwingi na kudhihirisha kuelimika kwao kudogo, ambako wao wanakuona kukubwa, kwa kuacha kujadili "issues" na kujadili watu, hayo ni mambo ya walioishiwa na hoja kama vile mwanamme mpumbavu anaposhindana na mwanamke kwa maneno, mwishowe akishindwa anaamua kurusha ngumi. Tubadilikeni jamani! na si kila anayesema ukweli zidi yetu aonekane adui au haipendi JF, sisi si malaika kama kila kitu tupo sawa, tunakosea na tunawakosea watu, kama waungwana na wasomi kweli, tunavyojidai, basi tukubali kujisahihisha tunapoikosea, siyo kupayukwa payukwa pale ukweli unapotugusa.
'A word to the wise man suffices'
Hatuwezi kujadili issue za watu wasio na upeo kama kina kibonde, kama wanataka waweke CV zao kwanza. Vinginevyo tuwaache wakaendelee kuwa viburudisho vya watu kwenye kitchen party
Kibonde ni mtengeneza habari, ni mtu maarufu, ana wasikilizaji wengi Dar-es-Salaam au Tanzania, huwezi kumdharau.
Awe amesoma, hakusoma, anaongea pumba, hajui kitu, anavaa mashati kijani, meusi, mwisho wa siku ana wasikilizaji wengi, kuna Watanzania anawahubiria, na wanamsikiliza kama Kakobe. Kwani Kakobe kasoma nini? Huwezi kumdharau Kibonde.
gadner kalalamikiwa na mkewe kama jf tunamfatafata,na mzee kuonyesha naye yumo akaenda kutunanga kwenye kipindi chake,huyo kibonde,ni kibonde kweli km jina lake,maana kwaakili yake anajua jf ni mwiba wa chama cha majambawazi,nayeye kashajiunga sasa anajipromote ili wampe ulaji wa kubwabwaja kwenye mikutano yao,wote wanatetea ugali wao tu hawana lolote,maana gadna mkewe akinuna inabidi alale sebuleni na kupelekwa outing hakuna.
Pole sana B, ....Naona jamaa wamekuchefua kweli kweli.
Mimi nilidhani Clouds wanashughulika na muziki (+ burudani nyingine na usanii sanii). Wameanza lini kujadili hoja? Hiyo ndo taabu ya kuingia uwanjani bila jezi wala mazoezi. Hata hivyo naungana na baadhi ya wadau kwamba tuwanange kiaina aina ili waende shule kwanza wajifunze jinsi ya kushusha nondo badala ya usanii 24/7.
Nlifikiria mletaji wa post hii angelituwekea hicho walichosema hasa. Mimi nahisi kuna ukweli wa waliyoyaongea kwa kiasi hicho hicho mleta post hii alichotujuvya.
Na majibu yaliyofuata baada ya post hii, mengi yao yameakisi kule kule kwanye madai ya walalamikiwa ie Kibonde na Gadna, watu badala ya kujadili uhalali wa madai yao, wamekwenda kwenye vitu visivyonamsingi wowote kwenye hoja yao au malalamiko yao, masuala ya elimu, nani kawatafutia kazi za utangazaji, itikadi zao za siasa hazihusu kitu kwenye mada hii au madai waliyoyatoa zaidi ya kuthibitisha kile wanachokilalamikia humu jamvini. Hayo ndiyo yale mambo binafsi wanayolalamika kuwa jamvini humu yanashikiwa bango kuliko hoja za maana.
Sote tunakumbuka majadala wa kipuuzi uliowahi kuletwa humu jamvini kuhusu "ukabila" wa mwanamziki nguli, Lady jaydee. Mjadala ule ni wazi kuwa uligusa maisha yake binafsi zaidi kuliko mambo mengi ya maana ambayo unaweza kumuongelea mtu kama Jay dee, ukabila wa mtu ni mambo yanayomhusu mwenyewe unless otherwise, ameyaweka mwenyewe katika mjadala wazi unaoleweka na siyo mtu akurupuke tu kuja na mada ihusuyo mambo ya mtu kujisifia tu kwa raha zake.
Nionavyo, watu humu wabadilike, waache kujifanya kujuwa kwingi na kudhihirisha kuelimika kwao kudogo, ambako wao wanakuona kukubwa, kwa kuacha kujadili "issues" na kujadili watu, hayo ni mambo ya walioishiwa na hoja kama vile mwanamme mpumbavu anaposhindana na mwanamke kwa maneno, mwishowe akishindwa anaamua kurusha ngumi. Tubadilikeni jamani! na si kila anayesema ukweli zidi yetu aonekane adui au haipendi JF, sisi si malaika kama kila kitu tupo sawa, tunakosea na tunawakosea watu, kama waungwana na wasomi kweli, tunavyojidai, basi tukubali kujisahihisha tunapoikosea, siyo kupayukwa payukwa pale ukweli unapotugusa.