Msitufanye wajinga!Basi hata video ya mauaji ya Daudi Mwangosi nayo iwekwe hewani alafu tuone kama kuna mtu atakamatwa au kuhojiwa!
Uhuru wa vyombo vya habari hapa bongo ni wa kinafiki!Jiulize hii clip ingehusu viongozi wa chama tawala ingefika hapa ilipofika?
ina tegemea na nia ya aliye weka, kama ni uchochezi basi ni kosa, kama ni yake ni kuonyesha upande wa pili unavyo fanya hila za propaganda kiasi hiki ni suala lingine.Asante sana Nyani Ngabu. Kuna watu wanakurupuka kuanzisha mada. Kama hawana cha kuandika, wanyamaze kimya. Watulie kabisa. Wasome michango ya wengine.
Aliyeirecord hiyo video ajitokeze tuone! Tofauti na hapo polisi wasifanyie kazi kesi isiyo na mshitaki!!
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
What's not good for the gander should not be good for the goose.
Kama ni vibaya kwa Clouds kurusha audio ya hiyo video basi ni vibaya kwa JF na media outlet (new, social, or traditional) kuirusha pia.
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda
yaan hata hujui...ni jf au goutube?..km hujui video ukisha upload huwezi kuizuia mana kila mtu anakuwa na acces nayo..ungemlaumu aliyeupload...ni makosa kwa clouds kucheza video kwa kisingizio eti iko youtube..nia ni kuchafua si kutoa habari na kujenga chuki dhidi ya anayetuhumiwa...
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
sioni tatizo kuchezea hiyo video,tatizo ni pale hiyo clip itakuja kuonekana ni habari za uwongo!yaan hata hujui...ni jf au goutube?..km hujui video ukisha upload huwezi kuizuia mana kila mtu anakuwa na acces nayo..ungemlaumu aliyeupload...ni makosa kwa clouds kucheza video kwa kisingizio eti iko youtube..nia ni kuchafua si kutoa habari na kujenga chuki dhidi ya anayetuhumiwa...
One huyu naye.....sasa kama ni makosa kwa Clouds kuicheza audio ya hiyo video ina maana si makosa kwa JF kuendelea kuiachia hiyo video humu?
Ama kweli kama akili zenyewe ndiyo hizi basi tuna kila halali ya kuwa kwenye hali tuliyonayo!! SMDH!!!!
Watu wengi hapa nadhani wana akili za kuazima....hivi pamoja na usomi wenu humu jamvini hamuwezi kuona ile Video imetengenezwa makusudi? Clouds FM wataonekana kuwa ni watangazaji wa vichochoroni kama wameiweka hewani bila kuona kasoro....JF ile video ya Lwakatare, tukiachana na waandishi professional au Editors wa video wanaojuakuna uhuni umefanyika....hata mwanafunzi wa secondary atajua ile video si ya kweli.
Humu kuna mibaba mizima inaitikia tuu..eeeh, ndiyo. Pasipo uchunguzi.
Lwakatare is innocent until proven guilty.
KAMA VITA ITATOKEA TANZANIA clouds fm watakua Wamechochea kwa 100%.TCRA fungia kituo hiki mapema
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
Watu wengi hapa nadhani wana akili za kuazima....hivi pamoja na usomi wenu humu jamvini hamuwezi kuona ile Video imetengenezwa makusudi? Clouds FM wataonekana kuwa ni watangazaji wa vichochoroni kama wameiweka hewani bila kuona kasoro....JF ile video ya Lwakatare, tukiachana na waandishi professional au Editors wa video wanaojuakuna uhuni umefanyika....hata mwanafunzi wa secondary atajua ile video si ya kweli.
Humu kuna mibaba mizima inaitikia tuu..eeeh, ndiyo. Pasipo uchunguzi.
Lwakatare is innocent until proven guilty.