CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

Status
Not open for further replies.

don-oba

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2011
Posts
1,387
Reaction score
680
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
 
Yani una hangaika na hawa? Yani huwajui?
 
wasipofanya hivyo hawatapata ruzuku mkuu...acha tulisongeshe wakiamka tupo magogoni...twende kamanda
 
hapo ndio ushabiki wa kibonde unadhihirika wazi wazi
 
kituo cha Radio kinakuwa na mtangazi Mtoto si ridhiki unategemea nini hapo.
 
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.

Hivi ni sahihi JF kuiweka clip ya lwakatare kwenye internet?
 
Kama Radio na mitandao ya kijamii imeruhusu hii clip ya Lwakatare kuwa hewani nafikiri hata CHADEMA nao warushe hewani video ya mauaji ya Daudi Mwangosim kwa ku-edit na kurusha zile sehemu ambazo haziwezi kumdhalilisha mhusika.Mitandao iko mingi ni swala la kuongea na wamiliki wa hiyo mitandao ili hiyo video nayenyewe iwe public mradi tu isikiuke kanuni na taratibu kwa kuonyesha sehemu zisizofaa.

Siyo CHADEMA tu hata yoyote anaemiliki hiyo video nae aiweke hewani kwenye mitandao ya kijamii kwani iko mingi tu.

Tusiendekeze "double standard".
 
Hivi kibonde bado yupo??? Kuna makapi huwa hayapo kwenye brain yangu!! Hata kwenye google hayasomeki!!
 
Hivi ni sahihi kwa JF kuendelea kuiachia hiyo video kwenye huu uzi?

Nasema JF infungiwe mara moja kwa kukiuka maadili ya Mtanzania.

Asante sana Nyani Ngabu. Kuna watu wanakurupuka kuanzisha mada. Kama hawana cha kuandika, wanyamaze kimya. Watulie kabisa. Wasome michango ya wengine.
 
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom