Clouds FM wakwiba kipindi NTV ya kenya

Clouds FM wakwiba kipindi NTV ya kenya

wameathiliwa na uccm hao,nowdays kila kipindi ni ccm tu,wanaboa kishenzi!!!!!!!!!
 
maneno ya vijiweni na mitusi ya hovyohovyo ndizo zao! hasa mida ya jion wanapitiaga kona bar nini
kabala ya kuzama mzigoni
 
Kwani Reginald Mengi majina kama ITV, the Guardian etc hajaiga????????????
 
Kusaga ana ndugu zake wako Marekani nafikiri ndio huwa wanakopi vitu kutoka huko na kumletea

ni kweli kukaa nje ya nji muda mrefu ndo kulikofanya akopi vitu vya marekani, kwasababu alikuwa anafanya biashara ya kuuza ndege na kuwapeleka marekani.
 
Oooh, c'mon people! What happened to the word 'inspiration'??

Jamii mbalimbali duniani zinazungukwa na mambo mbalimbali yanayofanana. Majina ya miji, watu, vitu, hata vipindi kuna pahala yatafanana kutokana na jamii hizo kuongelea au kukabiriwa na vitu hivyo hivyo.

Majina ya vipindi hata station vikifanana, si dhambi jamani. In fact, pahala pengine unakuta hakuna alternative ya kuita kipindi au station jina tofauti na station ya nchi jirani. As long as content ya kipindi inakuwa original na ina reflect maisha locally, sioni kikwazo kipo wapi.
Well said..binafsi cjaona tatizo kuiga kitu kama hicho kwani contents za vinavyozungumziwa ni tofauti kabisa na wanazungumza katika mazingira ya kwetu..it is the content that matters..kibonde hayupo PB jamani ameigiaje hapa..duh mshikaji ana damu ya kunguni!!
 
Kumbe walikiiba toka NTV,no creativity kwa Clouds na tasnia yote ya habari Tanzania
 
Back
Top Bottom