Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Team ELTON John 🙂🙂


http://s07.jamiiforums.com/mini/uyE8/bg_000000/txt_000000/border_000000/flags_0/
 
Wapo watangazaji waliohama toka Clouds na kwenda EFM, baada ya hapo kumefuatia vijembe vya hadharani, yaani wakati vipindi vikiendelea, wanarushiana madongo hewani.

Vizuri Sana Kumbe Hata Wewe UMELIONA Hili. Upo Sahihi 100%! Hili BIFU Lisipotafutiwa Dawa Mapema TUTEGEMEENI Siku Moja Kuyasikia Yale MATUSI Yetu Ya Kibaiolojia HEWANI. Ila Mpenda CHOKOCHOKO MKUU NI Ibrahim Masoud " Maestro " Ambaye Tokea Akiwa Hapo Clouds Media Group Na Kule Klabuni Simba Sports Club Alikuwa Ni MTU WA KUJIKWEZA, DHARAU Na Ana Tabia Moja Mbaya Sana Ya Kupenda KUABUDIWA Kama Siyo KUNYENYEKEWA Lakini Pia Ni Mtu Mzuri Sana Na Wa KUTUKUKA Wa Kamati Zetu Zile Za UFUNDI Tunazoziona Katika Vilabu Vyetu Hivi Vikubwa Viwili ( Kupiga KIPAPAI Wenzake au HOLA HOLA ) Ili Aonekane Yeye Tu Na Aliposhtukiwa Na Wenzake Wa CLOUDS FM Kwa Hiyo Tabia WAKAANZA KUMTENGA Ila Kiboko Yake Ni Kwa Maulid Kitenge Ambaye Jamaa Kila Akimpiga KIPAPAI Kitenge Anakuta Mwenzake KESHAOGA MAJI YA BAHARI Muda Mrefu Sana. Hii FILAMU Naiona Kabisa Inapoenda Na Itakapoishia! TCRA Ingilieni Kati Kwani Hata Kipindi Cha Clouds FM Cha Saa 4 Hadi Saa 7 Kinachorushwa Sasa Na Maadui Zake Dina Marios Na Cha E FM Cha Saa 6 Hadi Saa 9 Mkivisikiliza Ni FULL MIPASHO, VIJEMBE Na MAJUNGU Tena Ya Wazi Wazi. Ni Hatari!
 
Ungekuwa Ni Ushindani Mbwiga Angekuwa Anamcheka Ibrahim Masoud " Maestro " Kuwa Kafanya Kazi Clouds Media Kwa Zaidi Hata Ya Miaka 12 Lakini Kaja KUNUNUA Gari Baada Ya Miaka 8 Kazini Wakati Yeye Mbwiga Mbwiguke Kafanya Kazi Sasa Ni Mwaka 1 Tu Tayari Ana GARI? Mkuu Labda Nikuambie Tu YANAYOENDELEA Baina Ya Hawa WATANGAZAJI WA MICHEZO WA HIZI REDIO MBILI Ni MAKUBWA Na Narudia Tena Kama WASIPOKALISHWA Chini Na KUONYWA au KUREKEBISHWA Naiona Hatari Na Watafika Pabaya.
Hehehehehe, kumbe kununua gari ni maendeleo eeh?!!
 
Mkuu dadavua kidogo hapo kwenye team dalikimoko

Kama Umeweza Kuelewa Team ELTON John Naamini Kabisa Kuwa Hutashindwa Kujua Team DALLY Kimoko. Fikirisha Tu Ubongo Wako Taratibu Tu Mkuu Utaelewa.
 
(Team Dallay Kimono )mmeniacha naombeni maana jamani nimepitwa kabisa, hapa team Elton John angalau nahisi kama ni mapunga

Hauko Mbali Kuelekea Katika Jibu Sahihi Unalolitaka Mkuu. Zidi KUFIKIRI Utaelewa Tu. Kumwelewa GENTAMYCINE Yakupasa Uwe Na AKILI Za Akina Albert Einstein Majiniasi WALIOTUKUKA Lakini Ukiwa Kichwa Maji a.k.a POPOMA Utapata Shida Mno Kunielewa Na Hivi Watanzania Mnapenda KUTAFUNIWA Kila Kitu Nitawatesa Sana Bongo Zenu. Ukitaka Nikupe Maana Ya Dally Kimoko Nipe Mji!
 
BAAAAAAAAAS!!! UMEMALIZAA! UMESOMEKA!.@GENTAMYCINE! VITENGE KUTOKA CONGO NIMEKUELEWA SAANA!

Vizuri Sana Mkuu Na Huwa Nawapenda Mno " MAJINIASI " Wenzangu Kama Wewe Mnaonielewa Haraka Na Upesi. Huwezi Amini Kuna Watu Eti Mpaka Sasa Wameshindwa Kujua Maana Na " TEAM Elton John " Na " TEAM Dally Kimoko " Wakati Kwa Mtu MTUNDU KICHWANI Ni Rahisi Sana Kujua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom