- Thread starter
- #61
Samahani mkuu, kwani Lowassa ana sera? Maana sijasikia sera yake hata moja zaidi ya kuiponda CCM tu.
Anazo sana mkuu, kuondoa umasikini kwa watanzania, elimu bora na kipaumbele namba moja kwenye serikali yake.. Vipi magufuli serw yake ni Laptop kwa kila mwalimu au siyo mkuu