Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"

Alafu naweka sauti ya Lowassa anasema "Peopleees zungusha zungusha"

Moya kwa moja promo hii ni kampeni ya kwa CCM maana mgombea wake ana nadi sera za chama au kujipigia debe, kama wako huru na siyo kampeni kwa ccm , walipaswa kuweka sauti ya Magufuli akisema "CCM oyeee" ili kuendana na anachozungumza Lowassa kwani Lowassa anatoa salamu ya chama na Magufuli ana nadi sera za chama.

Hili ndilo bao la mkono alilosema Nape.

Chadema mbona hamjiamini? Mnambwelambwela nini? Kwani huyo anayezunguka akidai atawasaidia mama ntilie na bodaboda sio kampeni hiyo? Na tangazo la EATV linasema ZAMU YAKO FANYA MABADILIKO hiyo nayo sio kampeni? Wambadilishe nani? Tulia, maumivu ya kichwa huanza polepole!
 
Makamanda mnalia lia nini wakati Lowassa alishamaliza kwa kusema anataka kila mtanzania awe kama Bakheresa na Mengi.
 
Unajua wote mnaochangia ujinga kama mungekuwa mnaonekana basi mungepatwa na aibu sana, ebu naombeni mpunguzeni mzuka, semeni UKAWA inashinda vipi? make isijekuwa kura zinapigiwa JF badala ya kule saiti.
 
Dalili zinaonyesha mzee wa mchepuko hatopata u DC, aliupigania sana
 
UKAWA hamjiamini, mafuriko yote hayo bado mna bother na vitu vidogo hvyo.!
 
Wamejenga kwenye kiwanja cha red cross,wanalindwa kufukuzwa ngoja The Hague inawasubir.
 
Kudadeki UKAWA ndio story ya town LOWASA kesha chukua nchi tayari nyie ccm tulieni kama mnanyolewa this time hamna chenu. Sawaaaa
 
Kama huyo mgombea wa UKAWA hajasema point, na badala yake akasema "zungusha zungusha"...unataka Clouds wamlishe maneno?
 
Ni kweli hata clouds TV ni kyupi kabisa wamepita hapa mtera wakachukua picha ya bendera ya chadema ikiwa imechakaa yaani ya muda mrefu wanaitangaza sana, hivi kwanini wasionyeshe kyupi za zamani na taiti za mke wa mmiliki wa clouds TV mbona tutafurahi pia.
 
Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"

Alafu naweka sauti ya Lowassa anasema "Peopleees zungusha zungusha"

Moya kwa moja promo hii ni kampeni ya kwa CCM maana mgombea wake ana nadi sera za chama au kujipigia debe, kama wako huru na siyo kampeni kwa ccm , walipaswa kuweka sauti ya Magufuli akisema "CCM oyeee" ili kuendana na anachozungumza Lowassa kwani Lowassa anatoa salamu ya chama na Magufuli ana nadi sera za chama.

Hili ndilo bao la mkono alilosema Nape.

Ndio lenyewe hilo mkuu.
Subiri Uone huyo Nape akipigwa yeye bao la mkono na mtama juu tarehe 25 Oct
 
Mtoa mada uko sahihi ata mimi nilinotice hicho kitu alafu sauti ya Lowassa kama inasikika kwa mbali ila wajue huo ni upuuzi kwani watanzania hawadanganyiki kirahisi hivyo, nahisi ni moja ya strategy ya CCM ila wenyewe wanajua kuwa wanapumulia mashine.
Please vijana wenzangu msidanganyike kazi ni moja ya kutoa hawa mbweha madarakani ikifika October. MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
ninyi mna mwongelea bwana joseph kusaga na ruge?
Hawa ni walamba miguu wa ccm.niwa nafiki sana hawa watu. Kipindi lowassa yupo ccm hawa hawa walikua kila siku lowassa lowassa lakini leo lowassa kaamia chadema imekua nongwa kwao sasa wanajikomba kwa magufuli.

Mimi uwaga siwapendi watu wanafiki kama hawa hata watangazaji wao wamesha wa ambukiza hiki kitabia, wakina harson kamoga na samwel sasari kile kipindi chao cha 360% kimekua ni umbea umbea unafiki mtupu,

ngoja mzee wa maamuzi magumu aingie ikulu utawaona tena wanageuza mwelekeo na kutaka kumwandalia dhifa ili kujikomba komba,
Wana haki ya kubaki ccm usilazimishe watu kumfuata Lowassa
 
Samahani mkuu, kwani Lowassa ana sera? Maana sijasikia sera yake hata moja zaidi ya kuiponda CCM tu.

kwani zaidi ya kuahidi kuhonga laptop kwa walimu,magufuli ana sera gani anayoisimamia,mara kumi ya Lowassa anayeinadi sera yake ya kupambana na umaskini.mind you that sera usiifananishe na ahadi.
 
Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"

Alafu naweka sauti ya Lowassa anasema "Peopleees zungusha zungusha"

Moya kwa moja promo hii ni kampeni ya kwa CCM maana mgombea wake ana nadi sera za chama au kujipigia debe, kama wako huru na siyo kampeni kwa ccm , walipaswa kuweka sauti ya Magufuli akisema "CCM oyeee" ili kuendana na anachozungumza Lowassa kwani Lowassa anatoa salamu ya chama na Magufuli ana nadi sera za chama.

Hili ndilo bao la mkono alilosema Nape.

ni kweli
kwani uongo?.
kiongozi bora atatoka ccm.sasa mnakataa nini si lowasa ndo katoka ccm.
 
Back
Top Bottom