Clouds FM acheni Utoto

Clouds FM acheni Utoto

Ni mara ngapi imepata kutokea msanii kufuta mistari aliyomshirikisha msanii mwenzake kwa ajili ya haya mabifu? Mwana-FA mwenye wimbo wake ana bifu na Lady Jay Dee... what if hata Mwana-FA mwenyewe hapendi mistari aliyoimba Jide isikike kwenye nyimbo zake? That's one, but the issue ni kwamba, as long as Jay Dee ametangaza hadharani hataki utangazaji wowote ule kutoka Clouds, including kifo chake, then inabidi apokee hata hilo la kuwa muted kwenye nyimbo alizoshirikishwa!!! Ndio maana nikauliza, kutopiga nyimbo zake ni sawa lakini nyimbo alizoshirikishwa, sio sawa! Kama si maajabu tuite nini haya??

Mie ndiyo niliyesema kwamba ni bora wasipige hata nyimbo alizoshirikishwa kuliko kufanya hivyo wanavyofanya.
 
Kig. Ww ni mmoja wao bila shaka. Sasa huo wimbo waliomute kwa nini wapige? Hata hivyo radio yenu ni ya kihuni
Nilikuwa sifahamu kwamba uhuni unalipa namna hii!!!
View attachment 232289

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu (kati) pamoja na Mkurugenzi wa Mradi wa Superbrands Afrika Mashariki, Bw Jawad Jaffer kwa pamoja wakimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group,Bwa.Joseph Kusaga kwa Clouds Fm redio kuibuka na tuzo hiyo ya ubora kwa mara ya tatu mfululizo. Tukio hilo lilifanyika hivi karibuni katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.

So what is "Superbrands"?

According to (Superbrands - Wikipedia, the free encyclopedia) The Superbrands organization is an independent arbiter on branding. Its membership programmes pay tribute to the world's leading brands, as selected by experts and consumers. The organization also publishes a series of brand-focused books and publications. Superbrands has launched its programs in many key global markets and has publications in over 86 countries.


Background


Superbrands was founded by advertising executive Marcel Knobil in London in 1994. It began as a radio show on GLR (now BBC Radio London), which was aimed at giving ordinary customers an insight into the significant brands that touched their lives. Due to the success of the show, the Superbrands organization was founded in 1995.
In each country that it operates, it aims to identify brands that perform above and beyond other brands within their respective markets. To facilitate this, each country has an independent and voluntary council, which is made up of notable experts in the branding and marketing communication industry as well as experts from local and international blue-chip organizations. Brands that are rated highly by both the council and consumers are eligible for inclusion in a Superbrands project. Step 1 Study: an independent study elects the strongest brands of the country called Superbrands. Step 2 Reward and Knowledge; Superbrands Seal of Excellence, The Superbrands book. In some countries they also hold seminars and Awards ceremonies.

What is Superbrands and why it is important



Top 20 Best Radio Stations In Africa



Even with the invention of the television, radios have remained a vital part of our lives – imagine driving your car without the stereo on. What makes the radio still important is the quality of stations, programs, and presenters that we listen to. Africa has thousands, if not running into millions, radio station all across it. Trying to sift through these numbers to list out 20 best radio stations is no small feat. Having a best radio station is subject to preference, so to avoid having a bias list; we randomly select the top radio stations all over Africa. In no particular order, here are the best radio stations in Africa.

1. Radio Citizen FM – FM 106.7, Kenya
2. Peace FM – FM 104.3, Ghana
3. Nile FM – FM 104.2, Egypt
4. Sheger FM – FM 102.1, Ethiopia
5. Breeze FM – FM 99.6, Zambia
6. Rhythm FM – FM 97.3, Nigeria
7. Clouds FM – 88.5 FM, Tanzania
8. Radio Simba – 97.3 FM, Uganda
9. Ukhozi FM – 90.8 – 107.4 FM, South Africa
10. Radio Wave FM – 96.7 FM, Namibia
11. Chada FM – 100.8 FM, Morocco
12. Radio Tiemeni Siantou – 90.5 FM, Cameroon
13. ZiFM Stereo – 106.4 FM, Zimbabwe
14. Radio Vaovao Mahasoa – 106.8 FM, Madagascar
15. Canal A FM – 96.5 FM, Angola
16. Metro FM – 92.4 FM, South Africa
17. Okay FM – 101.7 FM, Ghana
18. Star FM – 96.6 FM, Gambia
19. Wazobia FM – 95.1 FM, Nigeria
20. SaFM – 107.1 FM, South Africa

See More Top 20 Best Radio Stations in Africa. | Network Africa

Niishie tu kusema kwamba, uwepo wenu unatambulika lakini ndio hivyo tena, hamna effect yoyote kwa Clouds FM
View attachment 232290 View attachment 232291
 
Mie ndiyo niliyesema kwamba ni bora wasipige hata nyimbo alizoshirikishwa kuliko kufanya hivyo wanavyofanya.
Huwezi kuacha kupiga wimbo wa mtu kwa sababu ndani yake kuna sauti ya mtu asiyetaka kazi zake zisipigwe wakati dawa ipo... MUTE! Kwanini wahukumiwe wengine? Ule wimbo watu tunasikiliza maneno ya busara, yaliyoenda darasa kutoka kwa kijana Mwanafalsafa! Sasa wewe unataka yote hayo watu wasisikilize kisa chorus ikiwa muted itaonekana utoto??????!!!!
 
Ujue tatizo watu wamejielekeza kwenye beef zaidi,sie wengine hatupo upande wowote ktk hilo beef kwahiyo haina haja ya kuanza kutueleza sijui nani alifanya nini alipokuwa na beef na sijui nani.
 
Ni kwamba mmesahau Jay Dee alipotangaza hadharani kwamba Clouds wasipige nyimbo zake na hata akifa wasiende, au? Anyway, Alikufa kwa Ngoma ni wimbo wa FA lakini Jide nae kashirikishwa, kuna sauti yake humo! Sasa ikiwa mtu ametangaza hadharani kwamba hata akifa hao Clouds wasiende, mnawalaumu vipi ku-mute sehemu ambazo yeye ameingiza sauti? Mbaya zaidi, Jide mwenyewe ana bifu hata na huyo Mwana-FA mwenye huo wenyewe!

Tukija la Majani... huyu si ndo yule alitangaza hadharani kwamba Clouds ndo wanahusika na vifo vya wasanii? Yaani watu na upumbavu wao wanakula unga huko, wanasingizia wanakula unga kwa ajili ya stress wanazopewa na Clouds, kama si upumbavu tuite nini?? Matokeo yake siku moja, kuna msanii wa zamani wa Majani alienda Clouds, nadhani alikuwa Jay Mo kama sikosei! Kati kati ya mahojiano, yule msanii akawa anamrusha Majani na mwenyewe akasema Majani amemuomba atakapofika studio amrushe... sasa ikiwa mnahitaji service za watu, jeuri za nini??!!!


umeandika bila ya kufanya tafiti vizuri kaka.wanawastress sana wasanii baada kuwatumia sana vibaya.uliza juma nature na dudubaya wako wapi?alafu mbaya zaidi hujui music industry ya bongo nyamaza mkuuu you are just a fan
 
Clouds wana slogan yao ya kusambaza upendo,sasa ni upendo gani wanaousambaza? Ku-mute sauti ni kusambaza upendo au chuki?
NasDaz kwahiyo neno Lady Jay Dee ni tusi mpaka liwe Muted? Usichanganye Clean version na Dirty Version.
Nimekupa sababu mbalimbali kwanini sehemu ya wimboinakuwa ni jambo la kawaida kuwa muted! Suala la Jide linaeleweka na nimeshalisema mara kadhaa!
 
umeandika bila ya kufanya tafiti vizuri kaka.wanawastress sana wasanii baada kuwatumia sana vibaya.uliza juma nature na dudubaya wako wapi?alafu mbaya zaidi hujui music industry ya bongo nyamaza mkuuu you are just a fan
Katika suala music industry wala hakuna utakachoniambia kahiyo kama wa kunyamaza unatakiwa wewe ndo unyamaze!

Unasema sijafanya utafiti kwa hoja ipi... hebu weka hapa huo utafiti uliofanya wewe! Unaleta habari za Dudubaya hapa kwahiyo waliompoteza ndio hao Clouds au? Ina maana hamna radio station zingine ambazo zingeweza kumweka juu? By the way, kwa nyimbo zipi hasa? Zile nyimbo za kusifia manundu ndo bado ulitarajia zingemweka kwenye chati? Suala la Nature nalifahamu kuliko unavyolifahamu wewe! Ni kweli kuna wakati Nature aliwazingua Clouds na wenyewe wakamzingua baadae peace ikafanyika na akarudi kwenye game! Tunaoifahamu Wanaume tulitabiri mapema sana kwamba haikuwa na muda mrefu kuparaganyika coz' yaliyokuwa yanaendelea maskani tulikuwa tunayajua na siyo ya kusimuliwa! Na kweli. muda haukupita, Nature na wenzake wakaondoka na fito zao wakaja kutiwa kiburi na mashabiki uchwara waliodhani unaweza kumshusha mtu kwa kuwarushia chupa za maji! Baada ya hapo, Nature ikawa historia... bora hivi sasa wapo in good terms na Fela huenda akarudi upya!

Una lingine?
 
Nilikuwa sifahamu kwamba uhuni unalipa namna hii!!!

usijisumbue na HATERS.....wenzao wanapiga hela na kazi wao kuponda tu utafikriri wameshikiwa bunduki wasilkilize hio redio!! na kama hamsikilizi mnaiongelea ya nini?? kuna redio kibao hapa bongo waacheni clouds fm na ujinga wao wasikilizwe na wajinga....jamii hii ina watu tofauti kila mtu na upeo wake
 
Habari Wanabodi,

Nipo nasikiliza Clouds FM kipindi cha XXL Segment ya "Album Review". Leo wana Review Album (2003) ya Mwana FA ya "Toleo Lijalo" yenye nyimbo kama 'Wanapendana', 'Alikufa kwa Ngoma' etc. Kwenye wimbo wa 'Alikufa kwa ngoma' ameimba na Anaconda (Lady Jay Dee) cha kushangaza kwenye huo wimbo wakati wana review ikifika sehemu ya chorus ya Jide wana-mute inasikika beat tu. Kitendo cha Clouds FM kama taasisi kampuni nzima kuweka beef na msanii mmoja inajidhihirisha Clouds FM ni radio ya wahuni tu.

Clouds FM sio mara ya kwanza kufanya upumbavu huo, nakumbuka kipindi cha nyuma Inspector Haroun alienda nao tofauti, kipindi hiko wimbo wake wa "Buzi" ndio ulikuwa una-hit basi jamaa kila ikifika pale anapochana Inspector sauti wanaondoa inasikika beat tu.

Kwenye ngoma ya Ben Pol "Jikubali" kuna moja ya mstari unaimbwa "Nampenda Lady jay Dee,namzimia Zitto" ile sehemu ya neno Lady Jay Dee wanaisugua (Scratch) na ilo neno halisikiki kabisa.

Kwenye kuadhimisha miaka 15 ya Dully sykes, kwenye promo walikuwa wanapiga nyimbo za nyuma za Dully Sykes, kuna ngoma inaitwa Bijou inavyoanza ina neno "Okay mbili sifuri sifuri nne, P-funky kinywele kimoja" ilipoanza hapo kwenye P-funky wakaikata kabisa wakaipeleka mbele.

Kwa Mchezo huo wa kitoto unaofanywa na Clouds Media inaishushia hadhi sana hiyo kampuni. Kitendo cha kampuni hiyo kufanya mambo ya utoto ni wazi redio inaendeshwa na makanjanja na sio watu wenye weledi. Clouds FM ikubali pia matakwa ya wasanii, kama msanii akikataa kufanya deal kwa sababu anaona haimfaidishi yeye ni haki yake kukataa na si kigezo cha kutopiga nyimbo zake.

Kuna watu watasema kwamba redio zipo zaidi ya 60 na TV zaidi ya 20 kwanini wasanii wailalamikie Clouds tu? Hapa tunacholalamika ni kufinya (mute) sauti yeyote iliyopo kwenye nyimbo alizoshirikishwa msanii walioenda nae tofauti. Kama wanapiga wimbo wa Ben Pol waachie wimbo kama ulivyo na si ku-mute majina ya watu waliotajwa wenye beef nao.


CLOUDS MEDIA ACHENI UTOTO.

Mike Tee mnyalu ana wimbo wake wa JE UTANIPENDA ambao amemshirikisha Mad Ice kwenye kiitikio.

Sasa basi huu wimbo una remix yake ambayo anaanza kurap Mr. 2 - Sugu (Hawapigi track Redioni, Na hata Kwenye TV hamnioni, Na Jina haliendi chini, Najua mnashangaa hata sijui Kwanini,....). Cha ajabu hawa Clouds badala ya kupiga Original Version ambayo Sugu hayupo, wao wanapiga Hii Remix then wanaondoa verses za Sugu kwa style ya karaoke, Matokeo yake wanaharibu wimbo wa watu.

Huu uhuni walifanya hata kwenye wimbo wa Mzee wa Busara. Kuna haja gani kupiga remix yenye verse za msiempenda kisha mkazikata hizo verses wakati Kuna original version ambayo huyo mtu hayupo?

Au nia Yenu ni kuuonyesha umma kua hamumpendi huyo msaniii? Huku ndiko kusambaza Upendo?
 
Nyimbo alizoshirikishwa Jide sio zake bali za msanii aliemshirikisha,sioni sababu ya kutokuzipiga,
Maana Jide alisema CLOUDS wasipige nyimbo zake, sasa alizoshiikishwa sio zake kutokuzipiga au kuzi- mute naona ni utoto
 
Katika suala music industry wala hakuna utakachoniambia kahiyo kama wa kunyamaza unatakiwa wewe ndo unyamaze!

Unasema sijafanya utafiti kwa hoja ipi... hebu weka hapa huo utafiti uliofanya wewe! Unaleta habari za Dudubaya hapa kwahiyo waliompoteza ndio hao Clouds au? Ina maana hamna radio station zingine ambazo zingeweza kumweka juu? By the way, kwa nyimbo zipi hasa? Zile nyimbo za kusifia manundu ndo bado ulitarajia zingemweka kwenye chati? Suala la Nature nalifahamu kuliko unavyolifahamu wewe! Ni kweli kuna wakati Nature aliwazingua Clouds na wenyewe wakamzingua baadae peace ikafanyika na akarudi kwenye game! Tunaoifahamu Wanaume tulitabiri mapema sana kwamba haikuwa na muda mrefu kuparaganyika coz' yaliyokuwa yanaendelea maskani tulikuwa tunayajua na siyo ya kusimuliwa! Na kweli. muda haukupita, Nature na wenzake wakaondoka na fito zao wakaja kutiwa kiburi na mashabiki uchwara waliodhani unaweza kumshusha mtu kwa kuwarushia chupa za maji! Baada ya hapo, Nature ikawa historia... bora hivi sasa wapo in good terms na Fela huenda akarudi upya!

Una lingine?

mimi nakupongeza kwa kutoa majibu mazuri bila kumkashifu mtu wala kutukana unaenda hoja kwa hoja endelea hivyo hivyo safi sana.
 
Mkuu nadhani haukunielewa,Mtoto akijisaidia kwenye kiganja hautakiwi kukata mkono,serikali kila siku inatukanwa na wananchi lakini still serikali hiyo hiyo inawaletea umeme wanacnhi,inawaletea madawa etc,Clouds Media kuweka beef na Jide ni utoto,Mengi alikuwa na mvutano na Muhongo lakini kwenye taarifa za habari tulikuwa tunamuona muhongo vizuri tu.Tatizo la hapa ni taasisi nzima hadi wafanyakazi hawatakiwi hata kutaja neno la Lady jay Dee wakiwa hewani mpaka waombe ruhusa kwa ruge,hapo ni kuonyesha ukanjanja wa Clouds Media.Kama amekataa nyimbo zake zisipigwe basi hata jina kutaja nayo ni wimbo? Waache utoto wamalize tofauti zao,mbona sugu/vinega walimalizana nao?

alafu wana slogani yao sambaza upendo, upendo gani huo na bifu zipo kibao?????
 
usijisumbue na HATERS.....wenzao wanapiga hela na kazi wao kuponda tu utafikriri wameshikiwa bunduki wasilkilize hio redio!! na kama hamsikilizi mnaiongelea ya nini?? kuna redio kibao hapa bongo waacheni clouds fm na ujinga wao wasikilizwe na wajinga....jamii hii ina watu tofauti kila mtu na upeo wake

[h=1]"The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything" -Albert Einstein[/h]
 

Attachments

  • Albert Einstein.jpg
    Albert Einstein.jpg
    66.5 KB · Views: 75
usijisumbue na HATERS.....wenzao wanapiga hela na kazi wao kuponda tu utafikriri wameshikiwa bunduki wasilkilize hio redio!! na kama hamsikilizi mnaiongelea ya nini?? kuna redio kibao hapa bongo waacheni clouds fm na ujinga wao wasikilizwe na wajinga....jamii hii ina watu tofauti kila mtu na upeo wake
Mkuu RRONDO afadhali umenifungua macho... kwanza sie wengine tunalipwa kwa saa tulizofanya kazi!!! Wacha nipige hela niwaache wenye vipaji vya kulalamika hadi siku wanaingia kaburini huku wakiacha Clouds imesimama wima... akina Ngwair wakijishindilia wenyewe drugs, oh Clouds... Watanzania bhana!!!!
 
Last edited by a moderator:
Habari Wanabodi,

Nipo nasikiliza Clouds FM kipindi cha XXL Segment ya "Album Review". Leo wana Review Album (2003) ya Mwana FA ya "Toleo Lijalo" yenye nyimbo kama 'Wanapendana', 'Alikufa kwa Ngoma' etc. Kwenye wimbo wa 'Alikufa kwa ngoma' ameimba na Anaconda (Lady Jay Dee) cha kushangaza kwenye huo wimbo wakati wana review ikifika sehemu ya chorus ya Jide wana-mute inasikika beat tu. Kitendo cha Clouds FM kama taasisi kampuni nzima kuweka beef na msanii mmoja inajidhihirisha Clouds FM ni radio ya wahuni tu.

Clouds FM sio mara ya kwanza kufanya upumbavu huo, nakumbuka kipindi cha nyuma Inspector Haroun alienda nao tofauti, kipindi hiko wimbo wake wa "Buzi" ndio ulikuwa una-hit basi jamaa kila ikifika pale anapochana Inspector sauti wanaondoa inasikika beat tu.

Kwenye ngoma ya Ben Pol "Jikubali" kuna moja ya mstari unaimbwa "Nampenda Lady jay Dee,namzimia Zitto" ile sehemu ya neno Lady Jay Dee wanaisugua (Scratch) na ilo neno halisikiki kabisa.

Kwenye kuadhimisha miaka 15 ya Dully sykes, kwenye promo walikuwa wanapiga nyimbo za nyuma za Dully Sykes, kuna ngoma inaitwa Bijou inavyoanza ina neno "Okay mbili sifuri sifuri nne, P-funky kinywele kimoja" ilipoanza hapo kwenye P-funky wakaikata kabisa wakaipeleka mbele.

Kwa Mchezo huo wa kitoto unaofanywa na Clouds Media inaishushia hadhi sana hiyo kampuni. Kitendo cha kampuni hiyo kufanya mambo ya utoto ni wazi redio inaendeshwa na makanjanja na sio watu wenye weledi. Clouds FM ikubali pia matakwa ya wasanii, kama msanii akikataa kufanya deal kwa sababu anaona haimfaidishi yeye ni haki yake kukataa na si kigezo cha kutopiga nyimbo zake.

Kuna watu watasema kwamba redio zipo zaidi ya 60 na TV zaidi ya 20 kwanini wasanii wailalamikie Clouds tu? Hapa tunacholalamika ni kufinya (mute) sauti yeyote iliyopo kwenye nyimbo alizoshirikishwa msanii walioenda nae tofauti. Kama wanapiga wimbo wa Ben Pol waachie wimbo kama ulivyo na si ku-mute majina ya watu waliotajwa wenye beef nao.


CLOUDS MEDIA ACHENI UTOTO.

Hivi bado mnaisikiliza hiyo clouds? Mi nilishaacha mwaka wa 5 huu. They have nothing new zaidi ya kutangaza ushoga tu.
 
"The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything" -Albert Einstein

absolutely......by those who DO SOMETHING.....who WALK THE WALK and NOT TALK THE TALK EVERYDAY!!!!!
 
Mike Tee mnyalu ana wimbo wake wa JE UTANIPENDA ambao amemshirikisha Mad Ice kwenye kiitikio.

Sasa basi huu wimbo una remix yake ambayo anaanza kurap Mr. 2 - Sugu (Hawapigi track Redioni, Na hata Kwenye TV hamnioni, Na Jina haliendi chini, Najua mnashangaa hata sijui Kwanini,....). Cha ajabu hawa Clouds badala ya kupiga Original Version ambayo Sugu hayupo, wao wanapiga Hii Remix then wanaondoa verses za Sugu kwa style ya karaoke, Matokeo yake wanaharibu wimbo wa watu.

Huu uhuni walifanya hata kwenye wimbo wa Mzee wa Busara. Kuna haja gani kupiga remix yenye verse za msiempenda kisha mkazikata hizo verses wakati Kuna original version ambayo huyo mtu hayupo?

Au nia Yenu ni kuuonyesha umma kua hamumpendi huyo msaniii? Huku ndiko kusambaza Upendo?

Ndio utoto tunaouzungumzia mkuu,nashukuru kwa kuuona.Wanahubiri amani huku wameficha mapanga,ni wazi wanasambaza chuki.
 
Back
Top Bottom