Clouds FM acheni Utoto

Clouds FM acheni Utoto

Hao jamaa ndo walivyo ukikataa bei zao tu bas ushajenga bifu nao ni wasanii kibao tu washalalamika na hilo la jide ni sababu tu ila kwnn mulalamike wakati radio stations zipo kibao achaneni nao kwani wao ni akina nani
 
Ni utoto walionao huwezi kuwa na beef na mtu ambaye alishaondoka kwenye luninga yako kisa ni nini clouds wapo kama machokoraa vile
acha tu kwa inavyoonekana hadi mlinzi wa getini pale naye atakuwa na beef na lady jay dee.
 
Hivi bado mnaisikiliza hiyo clouds? Mi nilishaacha mwaka wa 5 huu. They have nothing new zaidi ya kutangaza ushoga tu.
Hoyaa, shituka wewe... unakosa uhondo; shauri yako!!! Huyo Amalinze mwenyewe aliyeleta hii mada ni fan kindakindaki wa Clouds FM... hapa subiri tu, hamalizi wiki kabla hajaleta mada nyingine kuhusu Clouds!!! Wakati unayafahamu hayo, chukua popcorn huku ukifuatilia haya mautamu unayoyakosa kwa kusikiliza radio za shamba!!!

View attachment 232289

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu (kati) pamoja na Mkurugenzi wa Mradi wa Superbrands Afrika Mashariki, Bw Jawad Jaffer kwa pamoja wakimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group,Bwa.Joseph Kusaga kwa Clouds Fm redio kuibuka na tuzo hiyo ya ubora kwa mara ya tatu mfululizo. Tukio hilo lilifanyika hivi karibuni katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.

So what is "Superbrands"?

According to (Superbrands - Wikipedia, the free encyclopedia) The Superbrands organization is an independent arbiter on branding. Its membership programmes pay tribute to the world's leading brands, as selected by experts and consumers. The organization also publishes a series of brand-focused books and publications. Superbrands has launched its programs in many key global markets and has publications in over 86 countries.

Background

Superbrands was founded by advertising executive Marcel Knobil in London in 1994. It began as a radio show on GLR (now BBC Radio London), which was aimed at giving ordinary customers an insight into the significant brands that touched their lives. Due to the success of the show, the Superbrands organization was founded in 1995.
In each country that it operates, it aims to identify brands that perform above and beyond other brands within their respective markets. To facilitate this, each country has an independent and voluntary council, which is made up of notable experts in the branding and marketing communication industry as well as experts from local and international blue-chip organizations. Brands that are rated highly by both the council and consumers are eligible for inclusion in a Superbrands project. Step 1 Study: an independent study elects the strongest brands of the country called Superbrands. Step 2 Reward and Knowledge; Superbrands Seal of Excellence, The Superbrands book. In some countries they also hold seminars and Awards ceremonies.

What is Superbrands and why it is important

Top 20 Best Radio Stations In Africa

Even with the invention of the television, radios have remained a vital part of our lives – imagine driving your car without the stereo on. What makes the radio still important is the quality of stations, programs, and presenters that we listen to. Africa has thousands, if not running into millions, radio station all across it. Trying to sift through these numbers to list out 20 best radio stations is no small feat. Having a best radio station is subject to preference, so to avoid having a bias list; we randomly select the top radio stations all over Africa. In no particular order, here are the best radio stations in Africa.

1. Radio Citizen FM – FM 106.7, Kenya
2. Peace FM – FM 104.3, Ghana
3. Nile FM – FM 104.2, Egypt
4. Sheger FM – FM 102.1, Ethiopia
5. Breeze FM – FM 99.6, Zambia
6. Rhythm FM – FM 97.3, Nigeria
7. Clouds FM – 88.5 FM, Tanzania
8. Radio Simba – 97.3 FM, Uganda
9. Ukhozi FM – 90.8 – 107.4 FM, South Africa
10. Radio Wave FM – 96.7 FM, Namibia
11. Chada FM – 100.8 FM, Morocco
12. Radio Tiemeni Siantou – 90.5 FM, Cameroon
13. ZiFM Stereo – 106.4 FM, Zimbabwe
14. Radio Vaovao Mahasoa – 106.8 FM, Madagascar
15. Canal A FM – 96.5 FM, Angola
16. Metro FM – 92.4 FM, South Africa
17. Okay FM – 101.7 FM, Ghana
18. Star FM – 96.6 FM, Gambia
19. Wazobia FM – 95.1 FM, Nigeria
20. SaFM – 107.1 FM, South Africa

See More Top 20 Best Radio Stations in Africa. | Network Africa

CLOUDS MEDIA GRANTED TV LICENSE IN THE UNITED ARAB EMIRATES
Clouds Media International has been granted a TV broadcast dissemination license to launch a TV station in the United Arab Emirates (UAE). With this, Clouds has fulfilled a long time dream to launch a TV station in the Middle East.
---------------------
Although the airwaves in the UAE and the Middle East as a whole are full of TV stations, Clouds Media International has found a unique niche as the station's programming will the 3.5 million residents that are from the African Diaspora.

CLOUDS MEDIA GRANTED TV LICENSE IN THE UNITED ARAB EMIRATES - Corporate Digest

Clouds Media Group opens office in twofour54

Tanzania-headquartered media house Clouds Media Group recently opened an office in Abu Dhabi's media freezone, Twofour54. The new setup is part of the company's efforts to not just target the underserved African disapora in the Middle East but to also, in turn, introduce the region to companies in Africa.

Clouds Media Group opens office in twofour54 - BroadcastPro ME
CLOUDS MEDIA INTERNATIONAL OPENS OFFICE IN JAMAICA
Abu Dhabi based Clouds Media International today announced the opening of a new office in Kingston, Jamaica that will serve clients in the ...

Abu Dhabi based Clouds Media International today announced the opening of a new office in Kingston, Jamaica that will serve clients in the Caribbean and also open the region for additional business opportunities for the Clouds Media portfolio of companies. CLOUDS MEDIA INTERNATIONAL OPENS OFFICE IN JAMAICA - Corporate Digest
Clouds Int.jpg

Clouds Intl2.jpg


View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 Watanzania tuna Viroja, wengine utasikia eti Clouds inakufa, kisa... sauti ya Jide ipo kwenye dumped List!!!!
 
Sasa anaposema nyimbo zake zisipigwe ni kwamba anawaambia akina Ruge au Joe hapo? Ruge anakaa studio? Kusaga aanakaa studio? Tangu lini Ruge au Kusaga akapiga nyimbo studio? Kwanza yeye hakusema Ruge au Kusaga wasipige nyimbo zake bali alisema Clouds wasipige... sasa Clouds ni mtu au taasisi? Alitaja majina kwenye msiba... hapa alisema wazi kwamba siku Jide akifa, Joseph Kusaga na Ruge wasikanyage kwenye msiba wake na kwamba wakienda, watu wawapige mawe!

Tulikwisha washitukia siku nyingi mnbifu za kitoto na mnaweze kumtuma ata g.ando kuelezea utoto wa bifu za kitoto alafu uwaanaamini anaeleweka badilikeni acheni bifu za kibangi.
 
Hoyaa, shituka wewe... unakosa uhondo; shauri yako!!! Huyo Amalinze mwenyewe aliyeleta hii mada ni fan kindakindaki wa Clouds FM... hapa subiri tu, hamalizi wiki kabla hajaleta mada nyingine kuhusu Clouds!!! Wakati unayafahamu hayo, chukua popcorn huku ukifuatilia haya mautamu unayoyakosa kwa kusikiliza radio za shamba!!!

View attachment 232289

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu (kati) pamoja na Mkurugenzi wa Mradi wa Superbrands Afrika Mashariki, Bw Jawad Jaffer kwa pamoja wakimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group,Bwa.Joseph Kusaga kwa Clouds Fm redio kuibuka na tuzo hiyo ya ubora kwa mara ya tatu mfululizo. Tukio hilo lilifanyika hivi karibuni katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.

So what is "Superbrands"?

According to (Superbrands - Wikipedia, the free encyclopedia) The Superbrands organization is an independent arbiter on branding. Its membership programmes pay tribute to the world's leading brands, as selected by experts and consumers. The organization also publishes a series of brand-focused books and publications. Superbrands has launched its programs in many key global markets and has publications in over 86 countries.

Background

Superbrands was founded by advertising executive Marcel Knobil in London in 1994. It began as a radio show on GLR (now BBC Radio London), which was aimed at giving ordinary customers an insight into the significant brands that touched their lives. Due to the success of the show, the Superbrands organization was founded in 1995.
In each country that it operates, it aims to identify brands that perform above and beyond other brands within their respective markets. To facilitate this, each country has an independent and voluntary council, which is made up of notable experts in the branding and marketing communication industry as well as experts from local and international blue-chip organizations. Brands that are rated highly by both the council and consumers are eligible for inclusion in a Superbrands project. Step 1 Study: an independent study elects the strongest brands of the country called Superbrands. Step 2 Reward and Knowledge; Superbrands Seal of Excellence, The Superbrands book. In some countries they also hold seminars and Awards ceremonies.

What is Superbrands and why it is important

Top 20 Best Radio Stations In Africa

Even with the invention of the television, radios have remained a vital part of our lives – imagine driving your car without the stereo on. What makes the radio still important is the quality of stations, programs, and presenters that we listen to. Africa has thousands, if not running into millions, radio station all across it. Trying to sift through these numbers to list out 20 best radio stations is no small feat. Having a best radio station is subject to preference, so to avoid having a bias list; we randomly select the top radio stations all over Africa. In no particular order, here are the best radio stations in Africa.

1. Radio Citizen FM – FM 106.7, Kenya
2. Peace FM – FM 104.3, Ghana
3. Nile FM – FM 104.2, Egypt
4. Sheger FM – FM 102.1, Ethiopia
5. Breeze FM – FM 99.6, Zambia
6. Rhythm FM – FM 97.3, Nigeria
7. Clouds FM – 88.5 FM, Tanzania
8. Radio Simba – 97.3 FM, Uganda
9. Ukhozi FM – 90.8 – 107.4 FM, South Africa
10. Radio Wave FM – 96.7 FM, Namibia
11. Chada FM – 100.8 FM, Morocco
12. Radio Tiemeni Siantou – 90.5 FM, Cameroon
13. ZiFM Stereo – 106.4 FM, Zimbabwe
14. Radio Vaovao Mahasoa – 106.8 FM, Madagascar
15. Canal A FM – 96.5 FM, Angola
16. Metro FM – 92.4 FM, South Africa
17. Okay FM – 101.7 FM, Ghana
18. Star FM – 96.6 FM, Gambia
19. Wazobia FM – 95.1 FM, Nigeria
20. SaFM – 107.1 FM, South Africa

See More Top 20 Best Radio Stations in Africa. | Network Africa





View attachment 232422

View attachment 232423


View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 View attachment 232424 Watanzania tuna Viroja, wengine utasikia eti Clouds inakufa, kisa... sauti ya Jide ipo kwenye dumped List!!!!

Musoma kikwaya brands ni gongo pata picha gongo ikiwa super
 
Top 20 Best Radio s in African
tililika hapo chini vingezo au tuulize sisi wananchi uone jinsi watu walivyo wa achia hiyo tv FM vijana wasaluni.
 
Top 20 Best Radio s in African
tililika hapo chini vingezo au tuulize sisi wananchi uone jinsi watu walivyo wa achia hiyo tv FM vijana wasaluni.

We mjinga hata kuandika hujui nani utamshawishi na hizi pumba zako?
 
Ha ha ha ha ha ha kuandika una digree tatu imethitisha wazi wewe nimuokota makopo tu. watu wenye digree hatuko kama wewe,

Sms send ww na wao ni kiwango cha saluni tu. Tunaisikiliza tukiwa saluni.
 
Top 20 Best Radio s in African
tililika hapo chini vingezo au tuulize sisi wananchi uone jinsi watu walivyo wa achia hiyo tv FM vijana wasaluni.
Hebu nitafsirie hapa: "To facilitate this, each country has an independent and voluntary council, which is made up of notable experts in the branding and marketing communication industry as well as experts from local and international blue-chip organizations."
 
Keep supporting barber shop team know one is interested. Bye have a good day mbululazzz vuvulazzzzz
Hapo kwenye nyekundu ulitaka kusema nini hasa? Hebu acha kurukaruka wewe, nimesema andika neno "saluni" kwa Kiingereza, we si msomi wa digrii tatu bhana!!! Halafu kuna siku eti we mwenyewe ukajifanya kuanzisha thread kwenye jukwaa la siasa; thread yako hii hapa:
Ndoto za wanachama wengi wa ccm kugombea urais zimekwisha shindwa kabla ya mbio speed ya mzee lowassa hatari.
Una bahati hiyo siku watu akili zao zilikaa vizuri!!!!
 
Back
Top Bottom