Yaani nimecheka... anaogopa kuandika saluni kwa kizungu!!!!
What is efm
Yaani nimecheka... anaogopa kuandika saluni kwa kizungu!!!!
Hivi kuna mburullaz zaidi ya huyu
Yaani nimecheka... anaogopa kuandika saluni kwa kizungu!!!!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha, eti anadgree tatu.
We dogo, unajichoresha hebu tumia kiswahili manake hiyo lugha huijui...Next time dot play with my radio one cochroch
XXL the big show in town
What is efm
What is efm
Team barber shop what is efm
Shy land and NasDaz what is efm
Ngoja nikupuuze na hicho kizungu chako cha Eagle Wings College!Next time dot play with my radio one cochroch
Hivi hii redio bado ina wasikilizaji?
Unatafuta tu ubaya na familia yakoKama wamefanya hivyo, kuanzia leo nyumbani kwangu clouds tv na radio mwiko. shenzi kabisa.
Ni kwamba mmesahau Jay Dee alipotangaza hadharani kwamba Clouds wasipige nyimbo zake na hata akifa wasiende, au? Anyway, Alikufa kwa Ngoma ni wimbo wa FA lakini Jide nae kashirikishwa, kuna sauti yake humo! Sasa ikiwa mtu ametangaza hadharani kwamba hata akifa hao Clouds wasiende, mnawalaumu vipi ku-mute sehemu ambazo yeye ameingiza sauti? Mbaya zaidi, Jide mwenyewe ana bifu hata na huyo Mwana-FA mwenye huo wenyewe!
Tukija la Majani... huyu si ndo yule alitangaza hadharani kwamba Clouds ndo wanahusika na vifo vya wasanii? Yaani watu na upumbavu wao wanakula unga huko, wanasingizia wanakula unga kwa ajili ya stress wanazopewa na Clouds, kama si upumbavu tuite nini?? Matokeo yake siku moja, kuna msanii wa zamani wa Majani alienda Clouds, nadhani alikuwa Jay Mo kama sikosei! Kati kati ya mahojiano, yule msanii akawa anamrusha Majani na mwenyewe akasema Majani amemuomba atakapofika studio amrushe... sasa ikiwa mnahitaji service za watu, jeuri za nini??!!!
Wacha nikupuuze....Siamini kama bado kuna watu wanatetea ujinga na upuuzi wa Clouds.