Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,871
Cloudz pale wengi ni failures, so unategemea nini
yaani ukisoma wengi wameishia na div 0-4 kungekuwana -0 nahisi wangejazana wote pale
Cloudz pale wengi ni failures, so unategemea nini
Uiengereza hawana 'written constitution', it is a monarchy. Na ndio maana inaitwa 'United Kingdom. Vilaza wa Clouds!
mmh we itakua ulinyimwa kazi clouds. Usijal nafungua kituo changu cha redio muda c mrefu, ntakutafuta. Jst keep staying in jf.Mtangazaji wa Clouds kipindi kinachoendelea sasa hivi anauliza kama rais wa Uingereza anakunywa chai saa mbili rais wa Tanzania anakunywa saa ngapi aibu kabisa, hivi watangazaji wa Clouds wanaokotwa wapi?Kusaga acha kuokoteleza mitaani unamwona mtu anaflow mistari ya rap unampa utangazaji kina Dorine type.elewa cheap is expensive watakuharibia redio yako tafuta watu wenye ujuzi bana hadi tunaona aibu kusikiliza na wageni wetu.
Hapa kuna mawili inawezekana hajui au anajua kaamua kumchanganya mtoa jibu, mfano jogoo akitaga yai mlima kilimanjaro litaangukia wapi? Kenya au Tanzania.
Mtangazaji wa Clouds kipindi kinachoendelea sasa hivi anauliza
kama rais wa Uingereza anakunywa chai saa mbili rais wa Tanzania anakunywa saa ngapi aibu kabisa,
hivi watangazaji wa Clouds wanaokotwa wapi?
Kusaga acha kuokoteleza mitaani unamwona mtu anaflow mistari ya rap unampa utangazaji kina Dorine type.
elewa cheap is expensive watakuharibia redio yako tafuta watu wenye ujuzi bana hadi tunaona aibu kusikiliza na wageni wetu.