EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Mtangazaji wa Clouds kipindi kinachoendelea sasa hivi anauliza
kama rais wa Uingereza anakunywa chai saa mbili rais wa Tanzania anakunywa saa ngapi aibu kabisa,
hivi watangazaji wa Clouds wanaokotwa wapi?
Kusaga acha kuokoteleza mitaani unamwona mtu anaflow mistari ya rap unampa utangazaji kina Dorine type.
elewa cheap is expensive watakuharibia redio yako tafuta watu wenye ujuzi bana hadi tunaona aibu kusikiliza na wageni wetu.
kama rais wa Uingereza anakunywa chai saa mbili rais wa Tanzania anakunywa saa ngapi aibu kabisa,
hivi watangazaji wa Clouds wanaokotwa wapi?
Kusaga acha kuokoteleza mitaani unamwona mtu anaflow mistari ya rap unampa utangazaji kina Dorine type.
elewa cheap is expensive watakuharibia redio yako tafuta watu wenye ujuzi bana hadi tunaona aibu kusikiliza na wageni wetu.