Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

ni vema tukajifunza kujibu maswali ya members kama wanavyohitaji kujuzwa
Naichukia sana tabia hii ya kutoka nje ya maada
Na ni vema pia kama huna jibu la swali lake basi kaa kimya ili utoe fulsa kwa wenye majibu waseme
Narudia tena tabia hii si nzuri
Kama huja ajiriwa kwanin uulize mishahara ya watu?lengo lako nn kama sio kutaka kuzarau field za watu alafu mishahara ni siri kati ya mwajiriwa na mwajiri mtu wa nje unaitaka ya nn?
 
Habarini wakubwa.naomba kujua mshahara wa clinical officer tafadhali kwa anae ujua.pia naomba vigezo vya kusomea coarse hii.asanteni
 
680 makato tayar, una wazia mshahara wakat hata ujaonja mateso ya clinical rotation? Vigezo ni vile vile vya kwenda A level .
 
Sio kweli hata kidog..!!
Mshahara wa C/O mwenye certificate basic salary yake ni 460000/=tsh
Wakati mwenye diploma basic salary ni 650000/= TSH Hapa nazungumzia kwa govt.


Hamana C/O Mwenye mshahara unaofika wa milion moja. Labda awe AMO (assistant medical officer) na hawa AMO ndiyo tunawaita madaktar wasaidiz ila sio C/O Hawa huitwa waganga
Clinical officers nnaowajua hamna anechukua chin ya 800k,my mama mfano anakula 1M

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli hata kidog..!!
Mshahara wa C/O mwenye certificate basic salary yake ni 460000/=tsh
Wakati mwenye diploma basic salary ni 650000/= TSH Hapa nazungumzia kwa govt.


Hamana C/O Mwenye mshahara unaofika wa milion moja. Labda awe AMO (assistant medical officer) na hawa AMO ndiyo tunawaita madaktar wasaidiz ila sio C/O Hawa huitwa waganga

Sent using Jamii Forums mobile app
mshahara wa CO ambaye yuko tamisemi ni 680,000,ila akiwa serikali kuu mshahara ni 120000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom