Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

Acha kudanganya watu, kama CO analipwa 1m je AMO kiasi gani?MD atalipwa kiasi gani? Inawezekana huyo unayemusema akawa amefanya kazi kwa mda mrefu na walakini yuko karibu kustaafu hiyo ni sawa maana kuna increment ya kila mwaka , otherwise starting salary for CO haizidi laki 5. Period
 
Clinical officers nnaowajua hamna anechukua chin ya 800k,my mama mfano anakula 1M
inategemea kaajiriwa lini, mana atakuwa tayari ana promotions huyo
sio kila CO, ila ka kuanzia wanachukua sio chini ya 500
 
Wakuu anayejua clinical officer CO anayeanza kazi analipwa sh ngapi kwa mwezi atujuze
 
kama ukiambiwa analipwa 100,000 hutaenda kufanya kazi? we kama umepata kazi nenda kafanye bwana uongeze ujuzi wako, what is mshahara? cku hizi the more the experience you the more you are salary increase. tafuta kuwa mahili zaidi mshahara utapanda wenyewe.

any way maneno mengi, kama hayakufai utayaacha, yanaweza kuwafaa wengine.

subiri waje wakuambie mshahara ila nahisi kama 5mil hv per month - kiding.
 
kama ukiambiwa analipwa 100,000 hutaenda kufanya kazi? we kama umepata kazi nenda kafanye bwana uongeze ujuzi wako, what is mshahara? cku hizi the more the experience you the more you are salary increase. tafuta kuwa mahili zaidi mshahara utapanda wenyewe.

any way maneno mengi, kama hayakufai utayaacha, yanaweza kuwafaa wengine.

subiri waje wakuambie mshahara ila nahisi kama 5mil hv per month - kiding.

ni vema tukajifunza kujibu maswali ya members kama wanavyohitaji kujuzwa
Naichukia sana tabia hii ya kutoka nje ya maada
Na ni vema pia kama huna jibu la swali lake basi kaa kimya ili utoe fulsa kwa wenye majibu waseme
Narudia tena tabia hii si nzuri
 
C.O UNA Maana Clinical Office katika ngaZi ya Diploma hivyo mshahara wake ni ngazi ya TGHS B1 Abao basic salary ni 610,000/= laki 6 na kumi
 
C.O UNA Maana Clinical Office katika ngaZi ya Diploma hivyo mshahara wake ni ngazi ya TGHS B1 Abao basic salary ni 610,000/= laki 6 na kumi

Na Zaidi Ya Hapo Mkuu, Kumbuka Doctor Wa Degree(MD) Anaanza Na Zaidi Ya Mil1 Serikalini, AMO Yaani Assistant Medical Officer Anaanza Na Zaidi Ya Laki 8. So Clinical Officer Kwake Ni Halali Yake. We Ulizia Hata Nurse Wa Diploma Analipwaje Ndo Utashangaa.
 
Back
Top Bottom