Dubwika
Member
- Sep 13, 2022
- 10
- 24
Wakuu, habarini za muda huu! Kwanza niwape pole na majukumu yenu kabla sijaeleza kilichonidubwisha kuandika uzi huu.
Hakuna maisha magumu kama kukaa jobless au kuwa na kazi za kubangaiza mtaani. Sasa leo kuna rafiki yangu wa muda kidogo kanipigia simu kunahitajika Afisa Mikopo(Loan Officer) katika kampuni ambayo sitaitaja.
Nachotaka kufahamu tu ni kiasi gani afisa mikopo huwa analipwa kwa mwezi kwa mwenye uelewa mzuri ili niweze kufanya nao makubaliano. Naomba ufafanuzi kidogo pia kuhusu particulars zingine kuhusu hili.
Nawasilisha
Hakuna maisha magumu kama kukaa jobless au kuwa na kazi za kubangaiza mtaani. Sasa leo kuna rafiki yangu wa muda kidogo kanipigia simu kunahitajika Afisa Mikopo(Loan Officer) katika kampuni ambayo sitaitaja.
Nachotaka kufahamu tu ni kiasi gani afisa mikopo huwa analipwa kwa mwezi kwa mwenye uelewa mzuri ili niweze kufanya nao makubaliano. Naomba ufafanuzi kidogo pia kuhusu particulars zingine kuhusu hili.
Nawasilisha