Ada ya cheti....? Una maanisha Ada ya kusoma Certificate...? Au mshahara..?mi nataka kujua ada ya cheti ya clinical officer
Mwl wa degree anayeanza kazi ni 716Duuh! Ina maana clinical officer anamzidi mwalimu wa degree mshaara:what: hatari sana hii
Sio kaki saba serikalini anaanzia TGHSB Ambayo inaanza na shahara wa 680, 000 kabla ya makato . baada ya kukatwa katwa anabaki na laki tano nazaidi700,000/= Serilikalini, Private Ni Zaidi Ya Hapo. Nimeona Salary Slip Ya Mdogo Wang Kaajiriwa Last Year.
Tupo sambamba chief, hiyo 630 ilikuwa mwaka jana kabla ya increament ya July, so itakuwa hao wa dip ya afya kwa sasa ni 716 sawa na mwl wa degree. Sema hao wa afya bado wanatupiga magap wana visemina vingi, rushwa pamoja na vi overtime kibao. Mwalimu ni kutegemea mshaara tu.Sas kama basic laki 630 anampitaje mwalimu mwenye degree basic laki 710. Think Big msizarau kazi za watu
Wala hamjawazidi diploma afya basic 6800000Tupo sambamba chief, hiyo 630 ilikuwa mwaka jana kabla ya increament ya July, so itakuwa hao wa dip ya afya kwa sasa ni 716 sawa na mwl wa degree. Sema hao wa afya bado wanatupiga magap wana visemina vingi, rushwa pamoja na vi overtime kibao. Mwalimu ni kutegemea mshaara tu.
Sorry degree ya education kamzidi elfu 30 mwenye diploma ya afyaWala hamjawazidi diploma afya basic 6800000
Ukumbuke increment inapanda kila July kwa watumishi wote serikalin mkuu haiwezi ikapanda kwa watu wa afya tu walimu isipandeTupo sambamba chief, hiyo 630 ilikuwa mwaka jana kabla ya increament ya July, so itakuwa hao wa dip ya afya kwa sasa ni 716 sawa na mwl wa degree. Sema hao wa afya bado wanatupiga magap wana visemina vingi, rushwa pamoja na vi overtime kibao. Mwalimu ni kutegemea mshaara tu.
Mishahara inapangwa kwa kuzingatia kitu kinachoitwa JOB EVALUATION, ndio maana mnaweza wote mkawa mna degree ya kwanza lakini mwingine labda ya uchumi, mwingine HRM, mwingine ICT nakadhalika , mlimaliza pamoja chuo kimoja siku moja lakini mnatofautiana mishahara kutokana na hiyo JOB EVALUTIONkatika afya NGAZI YA DIPLOMA KADA ZOTE WANALINDA Ngazi ya mshahara
Sema hapo kwenye seminar ndo wanapo wapiga bao ila kwa mshahara hapanaTupo sambamba chief, hiyo 630 ilikuwa mwaka jana kabla ya increament ya July, so itakuwa hao wa dip ya afya kwa sasa ni 716 sawa na mwl wa degree. Sema hao wa afya bado wanatupiga magap wana visemina vingi, rushwa pamoja na vi overtime kibao. Mwalimu ni kutegemea mshaara tu.