Ushauri unahitajika

lee jack

JF-Expert Member
Jan 17, 2017
922
1,436
Habar zenu nahitaji ushauri wenu Kwa niaba ya rafiki yangu.

Ni hivi Nina rafiki yangu aliesoma ualimu ngazi ya cheti alimaliza mwaka 2018 lakini hakubahatika kupata ajira akasomea Short course ya tourism na akapata ajira kwenye kampuni niliyokua nikifanya kazi akawa anapokea salary ya 480000 plus marupurupu Kila mwezi.

Lakini June alipata kazi ya ualimu akapangiwa vijinini akaomba likizo ya miezi mitatu kazini akaenda kureport Sasa amerudi anasema mazingira magumu anataka aache ualimu arudi kazini Mimi nimeshindwa kumshauri chochote Kwa kuwa

Kwanza sijui mshahara wa mwalimu ngazi ya cheti ni shilingi ngapi

Pili sijajua ni jinsi gani au baada ya muda gani atapanda daraja

Tatu sijajua ni baada ya muda gani ataweza kupata uhamisho arudi mjini

Naomba mnisaidie muongozo ili niweze kujua namsaidiaje bila kukurupuka

Asanteni
 
Habar zenu nahitaji ushauri wenu Kwa niaba ya rafiki yangu.

Ni hivi Nina rafiki yangu aliesoma ualimu ngazi ya cheti alimaliza mwaka 2018 lakini hakubahatika kupata ajira akasomea Short course ya tourism na akapata ajira kwenye kampuni niliyokua nikifanya kazi akawa anapokea salary ya 480000 plus marupurupu Kila mwezi.

Lakini June alipata kazi ya ualimu akapangiwa vijinini akaomba likizo ya miezi mitatu kazini akaenda kureport Sasa amerudi anasema mazingira magumu anataka aache ualimu arudi kazini Mimi nimeshindwa kumshauri chochote Kwa kuwa

Kwanza sijui mshahara wa mwalimu ngazi ya cheti ni shilingi ngapi

Pili sijajua ni jinsi gani au baada ya muda gani atapanda daraja

Tatu sijajua ni baada ya muda gani ataweza kupata uhamisho arudi mjini

Naomba mnisaidie muongozo ili niweze kujua namsaidiaje bila kukurupuka

Asanteni
Kama yuko smart kwenye utafutaji akomae hapo huku akijiwekeza kwingine atakua na maisha Bora na atafunguka zaidi maisha ya ualimu ni magumu mpaka ufanye vitu vya pembeni ndio unapenyeza
 
Habar zenu nahitaji ushauri wenu Kwa niaba ya rafiki yangu.

Ni hivi Nina rafiki yangu aliesoma ualimu ngazi ya cheti alimaliza mwaka 2018 lakini hakubahatika kupata ajira akasomea Short course ya tourism na akapata ajira kwenye kampuni niliyokua nikifanya kazi akawa anapokea salary ya 480000 plus marupurupu Kila mwezi.

Lakini June alipata kazi ya ualimu akapangiwa vijinini akaomba likizo ya miezi mitatu kazini akaenda kureport Sasa amerudi anasema mazingira magumu anataka aache ualimu arudi kazini Mimi nimeshindwa kumshauri chochote Kwa kuwa

Kwanza sijui mshahara wa mwalimu ngazi ya cheti ni shilingi ngapi

Pili sijajua ni jinsi gani au baada ya muda gani atapanda daraja

Tatu sijajua ni baada ya muda gani ataweza kupata uhamisho arudi mjini

Naomba mnisaidie muongozo ili niweze kujua namsaidiaje bila kukurupuka

Asanteni
Kama anatafuta job security abaki serikalini.

Kama anataka na yupo tayari kulazimishwa kuwa mpambanaji, aende kwenye kampuni binafsi. Huko hakuna kubembelezwa.
 
Anasema mshahara mdogo na nimeona mdau hapo juu anasema 450000 na huku private analipwa 480000 Mimi naona Bora serikalini lakini hasikiii
Serikalini mshahara unaweza ukawa mdogo, lakini hatakimbizwa mchakamchaka kama kwenye kampuni binafsi.

Na akiwa mtu wa kujiongeza, anaweza akabuni tumiradi, hata kama ni kijijini, anaweza akalima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom