Circuit ya amplifire kubwa hii hapa, it is so simple to build

XOXOQY

Senior Member
Feb 7, 2011
172
36
Circuit hii sijai-design mimi niliipata kwenye mtandao,nikaisuka!

Imeandikwa watt 600 lakini Kama utaweka power transistor 10x2 utapata the realy 1000wattage of it!

Nimeisuka ipo powa sana,the sound is great.

It may blow out the roof of your room if you can dare to touch the maximum of its volume!

Hakikisha una speaker kubwa ndio usuke Amplifier hii.

POWER AMP.

Actrk600schematic.jpg


NILIYO SUKA MIMI

Photo0050.jpg

POWER SUPPLY YAKE
Actrkpowersupplyschematic.png
POWER SUPPLY NILIYO ISUKA MIMI

Photo0056.jpg

Usiogope kuitengeneza ipo powa sana;it is so simple but it has wonderful result.Do IT Yourself now!

Tembelea website HII kwa maelezo zaidi

Kazi kwenu wana electronics.Cheers!

Kama kuna maswali yeyote ya kitaalamu zaidi naomba mum-PM huyu jamaa transistor yeye ndo amenisapoti kwa asilimia 100% kwani na mimi najifunza tu kama nyinyi.

BUT;take care guyz this is high voltage divice the voltage my reach 90 DC voltage enough to stop your heart beat if you work it wrong!Mafundi wa ukweli they are always care!
 
attachment.php

.
Daaa hapo unanikumbusha mbali sana kaka ....
.
Kwenye full wave amplification kwa kutumia bridge.... Circuit
.
Kidato cha nne apo ila sikuizi madogo walivyo wekewa topic zao wanaweza kutengeneza hata bomu ukiangalia walivyo waongezea
.
Sema basi tu wana taka kufaulia mitihani yani nyumban hawafanyi vitu hivyo kabisa
 
ningependa kuisuka hii amp. lakini components zinapatikana wapi ?

afu hiyo transformer ya 75-0-75 ni kubwa sana !!!

have you built it yourself ?
 
ningependa kuisuka hii amp. lakini components zinapatikana wapi ?

afu hiyo transformer ya 75-0-75 ni kubwa sana !!!

have you built it yourself ?

Mmmh mkuu sio transformer ya 75-0-75 ni ya 54v-0-54v + 10v(AC Voltage) ambapo ukisha convert kiwango hiki kwenye DC ndo utapata 75-0-75 and 84 DC voltages.

Ukiweka transformer ya 75-0-75 AC ukiconvert katika DC na kufunga zile capacitor utapata output more than 100-0-100 DC voltage thus you may turn your amplifier into bomb!

I hope you are good in electronics;so just take a intensive reading how this Amplifier works.Just try to visit the link given.

Ndiyo nimeisuka mwenyewe but kwa msaada wa huyu jamaa Transistor na ndo naitumia kwangu;ukitaka uje uione practically welcome!

Yeah transformer ni vizuri iwe kubwa about 8Ampere on output

Components zake zipo mimi nimenunua hapa hapa dar!But transformer output inabidi isukwe kulingana na specification of voltage given ;unless umeipata inayolingana na specification hizo though it is difficult!

All the best but take care!
 
XOXOQY

Kwa kuuza unafanyeje mkuu wengine ni watu wa marketing mkuu, hapo twaona ramani kama ya kajumba hivi!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuuza unafanyeje mkuu wengine ni watu wa marketing mkuu, hapo twaona ramani kama ya kajumba hivi!

GHARAMA ZA VIFAA KIBONGO BONGO ZIKO HIVI
1.Transformer ya ukubwa huo=50000

2.Power transistor 1=2500 kama utaweka 10x10=2500x20 =50000 upate 1000 Wattage
au kama utataka uweke power transistor 6x6=12x2500=30000 upate 700 Wattage
3.Heat Resistor moja 500.idadi yake inategemeana na idadi za power transistor

4.Capacitor kubwa za kwenye Bridge zinatakiwa 4 moja ni 5000 ambazo

5.Vifaa vya Oscilator si chini ya elfu 30000

6.Housing yake si chini ya 20000

7.Finishing(Rangi,nobs,conector,cables,volumes)30000
Roughly unatakiwa uwe na minimum ya kiasi cha Laki mbili na nusu hivi kwa ajili ya vifaa tu.

Gharama ya usukaji ni 50% ya material cost!

As you see it is very cheap but it has wonderful performance.Sababu mchina sub-woofer ile kubwa kabisa ambayo sauti yake huwa inasumbua hadi majirani ni ya watt 300 tu na anauza laki mbili na nusu;now imagine wewe una kuwa na watt 1000 kwa gharama hiyo tu!


Kitaalam amplifier hii at maximum power usage yaani 1000 watt itakuwa hivi

*Output voltage katika speaker ya 4 ohms itapeleka volt 63.2455Vv(kiasi ambacho bulb ya umeme itawaka kama waya za speaker zitaungwa kwenye taa hiyo)
*Na amplifire ita-drain about 15Amps from the transformer(Ingawa imewekewa fuse ya ampere 10A ili kama ampere zitazidi 10A fuse ikate kulinda speaker zisiungue)

Hivyo kwa ukubwa huu ni kwa ajiri ya out door au big theater!Lakini kama unataka utumie kwa sauti yake maximum nyumbani au gheto utahamishwa na mwenye nyumba kwani hii inatoka realy 1000 wattage ambayo ni sawa na watt 5000 ya amplifier ya mchina!

Na kama utasuka halafu uwe unatumia kwa sauti ndogo bora ununue sub-woofer tu!
 
Circuit hii sijai-design mimi niliipata kwenye mtandao,nikaisuka!

Imeandikwa watt 600 lakini Kama utaweka power transistor 10x2 utapata the realy 1000wattage of it!

Nimeisuka ipo powa sana,the sound is great.

It may blow out the roof of your room if you can dare to touch the maximum of its volume!

Hakikisha una speaker kubwa ndio usuke Amplifier hii.

POWER AMP.

View attachment 138995


NILIYO SUKA MIMI

View attachment 138996

POWER SUPPLY YAKE
View attachment 138997
POWER SUPPLY NILIYO ISUKA MIMI

View attachment 138999

Usiogope kuitengeneza ipo powa sana;it is so simple but it has wonderful result.Do IT Yourself now!

Tembelea website HII kwa maelezo zaidi

Kazi kwenu wana electronics.Cheers!

Kama kuna maswali yeyote ya kitaalamu zaidi naomba mum-PM huyu jamaa transistor yeye ndo amenisapoti kwa asilimia 100% kwani na mimi najifunza tu kama nyinyi.

BUT;take care guyz this is high voltage divice the voltage my reach 90 DC voltage enough to stop your heart beat if you work it wrong!Mafundi wa ukweli they are always care!

Nakushauri kama unaweza kuongeza some features kwenye hyo design, weka commercial.

Kwani wajapani walianzaje? Kwanini wewe ushindwe?

Tengeneza na uuze zako.
 
Safi sana mkuu.....vp lakini unaweza kupigia disko la uswahilini?hiyo ramani ninayo ila nilikuwa naogopa kutest....nitaweka nilizo test hapa.vipi pre amp yake ikoje?
Circuit hii sijai-design mimi niliipata kwenye mtandao,nikaisuka!

Imeandikwa watt 600 lakini Kama utaweka power transistor 10x2 utapata the realy 1000wattage of it!

Nimeisuka ipo powa sana,the sound is great.

It may blow out the roof of your room if you can dare to touch the maximum of its volume!

Hakikisha una speaker kubwa ndio usuke Amplifier hii.

POWER AMP.

View attachment 138995


NILIYO SUKA MIMI

View attachment 138996

POWER SUPPLY YAKE
View attachment 138997
POWER SUPPLY NILIYO ISUKA MIMI

View attachment 138999

Usiogope kuitengeneza ipo powa sana;it is so simple but it has wonderful result.Do IT Yourself now!

Tembelea website HII kwa maelezo zaidi

Kazi kwenu wana electronics.Cheers!

Kama kuna maswali yeyote ya kitaalamu zaidi naomba mum-PM huyu jamaa transistor yeye ndo amenisapoti kwa asilimia 100% kwani na mimi najifunza tu kama nyinyi.

BUT;take care guyz this is high voltage divice the voltage my reach 90 DC voltage enough to stop your heart beat if you work it wrong!Mafundi wa ukweli they are always care!
 
Mmmh mkuu sio transformer ya 75-0-75 ni ya 54v-0-54v + 10v(AC Voltage) ambapo ukisha convert kiwango hiki kwenye DC ndo utapata 75-0-75 and 84 DC voltages.

Ukiweka transformer ya 75-0-75 AC ukiconvert katika DC na kufunga zile capacitor utapata output more than 100-0-100 DC voltage thus you may turn your amplifier into bomb!

I hope you are good in electronics;so just take a intensive reading how this Amplifier works.Just try to visit the link given.

Ndiyo nimeisuka mwenyewe but kwa msaada wa huyu jamaa Transistor na ndo naitumia kwangu;ukitaka uje uione practically welcome!

Yeah transformer ni vizuri iwe kubwa about 8Ampere on output

Components zake zipo mimi nimenunua hapa hapa dar!But transformer output inabidi isukwe kulingana na specification of voltage given ;unless umeipata inayolingana na specification hizo though it is difficult!

All the best but take care!

Unawezs kunitengenezea ya watts 2500 bei tutaongea XOXOQY
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom