Circuit hii sijai-design mimi niliipata kwenye mtandao,nikaisuka!
Imeandikwa watt 600 lakini Kama utaweka power transistor 10x2 utapata the realy 1000wattage of it!
Nimeisuka ipo powa sana,the sound is great.
It may blow out the roof of your room if you can dare to touch the maximum of its volume!
Hakikisha una speaker kubwa ndio usuke Amplifier hii.
POWER AMP.
NILIYO SUKA MIMI
POWER SUPPLY YAKE
POWER SUPPLY NILIYO ISUKA MIMI
Usiogope kuitengeneza ipo powa sana;it is so simple but it has wonderful result.Do IT Yourself now!
Tembelea website HII kwa maelezo zaidi
Kazi kwenu wana electronics.Cheers!
Kama kuna maswali yeyote ya kitaalamu zaidi naomba mum-PM huyu jamaa transistor yeye ndo amenisapoti kwa asilimia 100% kwani na mimi najifunza tu kama nyinyi.
BUT;take care guyz this is high voltage divice the voltage my reach 90 DC voltage enough to stop your heart beat if you work it wrong!Mafundi wa ukweli they are always care!
Imeandikwa watt 600 lakini Kama utaweka power transistor 10x2 utapata the realy 1000wattage of it!
Nimeisuka ipo powa sana,the sound is great.
It may blow out the roof of your room if you can dare to touch the maximum of its volume!
Hakikisha una speaker kubwa ndio usuke Amplifier hii.
POWER AMP.
NILIYO SUKA MIMI
POWER SUPPLY YAKE
POWER SUPPLY NILIYO ISUKA MIMI
Usiogope kuitengeneza ipo powa sana;it is so simple but it has wonderful result.Do IT Yourself now!
Tembelea website HII kwa maelezo zaidi
Kazi kwenu wana electronics.Cheers!
Kama kuna maswali yeyote ya kitaalamu zaidi naomba mum-PM huyu jamaa transistor yeye ndo amenisapoti kwa asilimia 100% kwani na mimi najifunza tu kama nyinyi.
BUT;take care guyz this is high voltage divice the voltage my reach 90 DC voltage enough to stop your heart beat if you work it wrong!Mafundi wa ukweli they are always care!