CIA walimuua Bob Marley?

alikuwa na impact gani hadi wazee wa kazi a.k.a wazee wa mission CIA wamuue?????? au bange zake tu zilimzidia.
Ukisoma hili jarida la high times (lipo mtandaoni) utaona kwamba kipindi cha bob jamaica kulikua na vyama viwili vya siasa vyenye nguvu sana JLP na PNP, PNP kilikua na sera za Ki socialist wakati JLP sera zao zilikua za ki capitalist ambazo bob alikua haziungi mkono kwakua zilikua zina nyonya na kukandamiza wanyonge (babylonian system), sera hizi ziliungwa mkono na CIA kwakua ziliwapa fulsa mbalimbali.

Aidhaa bob alikua anaandaa matamasha ya bure jamaica na kufafanua madhara ya sera hizo za ki capitalist kwa njia ya nyimbo. Wajamaica walimpenda na kumuamini sana bob, jambo lililo wakwamisha sana JLP

BOB alinusulika kuuawa (ambush in the night) siku chache kabla ya tamasha lake la bure la smile jamaica lililokua na udhamini wa PNP, hii ilitafsiriwa na JLP kama kukipa kick chama cha PNP.
 
Bangeee mbata kwelikweli
hata Mbaraka Mwinshehe kwenye ajali yake nadi wakashindwa mtolea Damu huko Kwnya ni CIA
Mkuu kama sijakuelewa vile
 
Wamejikomoa wenyewe,
Tunawashukuru kwa ku,uuwa Bob na kutuachia bangi zetu.Mbaya zaidi wangemuuwa Bob Marley na Wakamuuwa Bangi hapo wangenikera saaan
Msiovuta Bangi mnapata tabu sana,Sie wavuta Bangi tunawasiliana na Bob Marley na kuongea nae kama kawaida tu,na tunagonga tano.feelings za Ganja acha kabisa,yule jamaa mzimu wake upo pale.
Sasa ukitaka kuwasiliana na Bob na kupata ushauri wowote kutoka kwake,naomba tafuta Ganja kisha piga puri kama nne hivi,utaibukia Jamaica,Masharti yake tu mtu aiskustue wala kukusemesha wakati wa feelings,mwambie stim zinalipiwa.
Sasa kama wanaweza wauwe na Bangi.
ehhh,sasa ndio nimeandika nini !!!
 
Hapa duniani ukiwaambia watu ukweli wa mabaya yao na ukawachoma mioyoni mwao badala ya kuchukua uamuzi wa kubadilika wawe watu wema watakutafutia hata kifo,wazungu hawatupendi watu weusi hasa ukionyesha kua ni mtu mwenye kuweza kufikili kwa kina na kutenda jambo kama wao au zaidi ya wao.inawezekana kweli ikawa hivyo.
 
Mkuu kama MAJANI unamaana ya bangi, nimetaja
Ila kama unamaanisha producer MAJANI a.k. unywele mmoja kweli sijataja

Mambo ya Cia yanakujaga kimbele nyuma.Ebola ilipoanza W.Africa tukaona N.Korea wakaweka mabango kwenye migahawa ya kuzuia African wasiingie,nje ya pazia ilikuwa kama ubaguzi, lakini baadae ndo tikajua kwamba N.Korea ndio waliolengwa Africans ni wahanga.
Yawezekana kunakitu kipya inaanza kupandwa ili kututoa kwenye hoja ya bangi.
Sababu alizoziweka na muandishi ni zakawaida kabisa.kwavyovyote mtu ukishajua utakufa siku chache zilizobakia lazima uende race.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…