Nlikuwa nimekaa nje kwenye kiukuta kifupi mguu mmoja juu mwingine chini
sema nlikuwa nimevaa pensi la jeans hawakuona papuchi
ingekuwa ni lile pensi kama la yanga sijui tu siku hiyo.....
duuuh! we mjanja aisee manake nilifikiri ulikaa chini hofu yangu ikawa tumchanga kuingia na kavumbi si unajua vinapenya bila kujua, ha,ha,haaaaaa!