Chuo Kikuu cha Morogoro kinadidimia kitaaluma

Chuo Kikuu cha Morogoro kinadidimia kitaaluma

Tatizo letu kubwa ni kutaka vya bure anyway sina kusudio baya na dini yangu ila ukweli ndio huo, umwinyi unatusumbua sana ndugu zangu hata kuchangia msikitini ni shida,misikiti kibao tunajengewa kwa misaada, kwa upande wa wakikristo kila kitu wanajitutumua wanakanisa wenyewe. Lazima tubadilike utakuta watu kibao pale chuo hawatoi ada kisa Allah atalipa sasa tutaendeshaji chuo
 
Hapa kwanza ningeomba tuache udini.
Nakupongeza sana mleta Mada,na umeandika vizuri saana tena saana,na umetoa mwanya wa watu kujenga hoja na kutetea,lakini ukweli unabakia kwamba bado hakuna hoja imeyotetea vizuri.Kila mmoja anarusha mpira na wengine wakiona chuo fulani cha Kikristo kimekufa baso wanaonyeshea mfano huko wakati sio lengo.

Lengo ni nia nzuri na njema,sasa kamaa chuo fulani cha kikristo kimekufa basi mleta mada licha kwamba ni mkristo ila kwa ubinaadam wake ameona atoe hadhari kwa sie waislam kwamba chuo chetu kinakufa ili kisije kufikia kama hivyo walivyovitolea mfano watu wengine,Naweza kusema Waliochangia kwa nia Njema Mungu awabariki.

Unajua sie Waislam tumekuwa tukilalamika muda mrefu saana suala la elim,na tulipoteleza tunapajua,unajua kuna Wanafiki ndani ya Uislam na kuna Waislam wenye kujitambua.Sasa kama chuo chenyewe kimoja tena cha kisasa kinatushinda,sasa tumlalamkie nani.Maana kwenye nyumba zetu za ibada tu vurugu kila siku.Watu hata BAKWATA wanakuambia hawaitambui na kusema BAKWATA ni Tawi la Kanisa,hivi hii akili kweli?
Narejea kusema,adui wa Muislam yumo ndani ya Uislam na sivinginevyo
Mfano mdogo tu,unakuta mtoto wakati anaenda madrasa anavaa nguo ile chafuuu,na kanzu chafuu tena mbayaa,ila huyohuyo mtoto akienda Shuleni basi unakuta smart kweli,kiatu safii,soksi,shati safii yaani amependeza kweli na pesa ya kula juu.Sasa geukia upande wa pili wa Madrsa,huwezi kuamini ndugu zangu wakristo,ni kwamba Madrassa nyingi za kiislam mchango au ada ya mwezi haizidi Elfu 5,mie wanangu anasoma madrassa kwa mwezi elfu tatu tu,lakini cha kushangaza hakna hata anaetoa,yaani waalim wa madrass wana struggle kweli,wengo omba omba,na hawawezi kumfukuza mtoto kwa ada ya madrasa,ila wakati huo huko Mtoto huyo analipa karibia milioni shule ya kawaida.

Sasa hapo mtapata picha kwamba haya mambo yana background yake,na muislam mwenye kujitambua hapati shida kujua vyanzo.Kuna unafiki mwingi sana ndani ya Dini yetu,lazim tuliseme hili.Shule ngapi zinatushinda kusimamia Vizuri ikiwemo Ubungo Islamic na nyinginezo.

Naomba uongozi wa Chuo na BAKWATA na taasisi husika lazima walishughulikie hili.Chuo kinauwezo wa kuomba Wataalam Nchi nyingi sana za Kiislam zenye maendeleo makubwa ya ELIM kama Iran nk na wakasaidia pale,ila kuna tatizo ndani kwa ndani kwa maslahi ya wachache.
Very objective observation. Bahati mbaya sana mbegu ya udini kwa baadhi yetu imeshaota na inastawi sana. Hapa kuna Wakristo wenzangu ambao nao pia akili zao si njema sana wao ilipoletwa hoja shetani wa udini akawavaa, pia bahati mbaya na baadhi ya Waislamu wengine hapa wamekosa simile wameanza kujenga hoja zao kwa sura ya udini. Taasisi za elimu ya juu ni kwa manufaa ya taifa zima wala sio dini fulani. Mtaalamu atakaetoka MUM atatuhudumia Watanzania wote bila kujali dini zetu. Vema tujifunze kushauriana vizuri kwa manufaa ya taifa letu na ubinadamu wetu
 
Hapa kwanza ningeomba tuache udini.
Nakupongeza sana mleta Mada,na umeandika vizuri saana tena saana,na umetoa mwanya wa watu kujenga hoja na kutetea,lakini ukweli unabakia kwamba bado hakuna hoja imeyotetea vizuri.Kila mmoja anarusha mpira na wengine wakiona chuo fulani cha Kikristo kimekufa baso wanaonyeshea mfano huko wakati sio lengo.

Lengo ni nia nzuri na njema,sasa kamaa chuo fulani cha kikristo kimekufa basi mleta mada licha kwamba ni mkristo ila kwa ubinaadam wake ameona atoe hadhari kwa sie waislam kwamba chuo chetu kinakufa ili kisije kufikia kama hivyo walivyovitolea mfano watu wengine,Naweza kusema Waliochangia kwa nia Njema Mungu awabariki.

Unajua sie Waislam tumekuwa tukilalamika muda mrefu saana suala la elim,na tulipoteleza tunapajua,unajua kuna Wanafiki ndani ya Uislam na kuna Waislam wenye kujitambua.Sasa kama chuo chenyewe kimoja tena cha kisasa kinatushinda,sasa tumlalamkie nani.Maana kwenye nyumba zetu za ibada tu vurugu kila siku.Watu hata BAKWATA wanakuambia hawaitambui na kusema BAKWATA ni Tawi la Kanisa,hivi hii akili kweli?
Narejea kusema,adui wa Muislam yumo ndani ya Uislam na sivinginevyo
Mfano mdogo tu,unakuta mtoto wakati anaenda madrasa anavaa nguo ile chafuuu,na kanzu chafuu tena mbayaa,ila huyohuyo mtoto akienda Shuleni basi unakuta smart kweli,kiatu safii,soksi,shati safii yaani amependeza kweli na pesa ya kula juu.Sasa geukia upande wa pili wa Madrsa,huwezi kuamini ndugu zangu wakristo,ni kwamba Madrassa nyingi za kiislam mchango au ada ya mwezi haizidi Elfu 5,mie wanangu anasoma madrassa kwa mwezi elfu tatu tu,lakini cha kushangaza hakna hata anaetoa,yaani waalim wa madrass wana struggle kweli,wengo omba omba,na hawawezi kumfukuza mtoto kwa ada ya madrasa,ila wakati huo huko Mtoto huyo analipa karibia milioni shule ya kawaida.

Sasa hapo mtapata picha kwamba haya mambo yana background yake,na muislam mwenye kujitambua hapati shida kujua vyanzo.Kuna unafiki mwingi sana ndani ya Dini yetu,lazim tuliseme hili.Shule ngapi zinatushinda kusimamia Vizuri ikiwemo Ubungo Islamic na nyinginezo.

Naomba uongozi wa Chuo na BAKWATA na taasisi husika lazima walishughulikie hili.Chuo kinauwezo wa kuomba Wataalam Nchi nyingi sana za Kiislam zenye maendeleo makubwa ya ELIM kama Iran nk na wakasaidia pale,ila kuna tatizo ndani kwa ndani kwa maslahi ya wachache.
Mwenyezi MUNGU akubariki wewe na vizazi vyako vyote., hakika wewe utakuja wasidia waislamu wenzako katika mambo ya Taaluma.
 
Very objective observation. Bahati mbaya sana mbegu ya udini kwa baadhi yetu imeshaota na inastawi sana. Hapa kuna Wakristo wenzangu ambao nao pia akili zao si njema sana wao ilipoletwa hoja shetani wa udini akawavaa, pia bahati mbaya na baadhi ya Waislamu wengine hapa wamekosa simile wameanza kujenga hoja zao kwa sura ya udini. Taasisi za elimu ya juu ni kwa manufaa ya taifa zima wala sio dini fulani. Mtaalamu atakaetoka MUM atatuhudumia Watanzania wote bila kujali dini zetu. Vema tujifunze kushauriana vizuri kwa manufaa ya taifa letu na ubinadamu wetu
Bigup mkuu.
 
Ndugu zangu waislamu mtoa mada kaja vizuri tu haina haja ya shari. Ni kweli kile chuo kipo kama sec school yaan kubwa ni mfumo wa uendeshaji, kwenye majengo sio sana.....
.. Tujifunze kukubali ukweli sio kuweka mihemko isiyo na msingi. Vile vile hakuna anaependelewa mnabaki kusingizia wakristo wanapewa ruzuku BTW hio sio sababu ya nyie kuwa na chuo kibovu
 
Nimecheka sanaaaa... Yaani wewe unachofanya ni kuwa kwa vile hivyo ulivyovitaja umeviona vina hali mbaya, BASI NI SAWA KWA MUM KUWA VILE ILIVYO...

Ni kutotazama mambo kwa mapana yake...

Kama hivyo ulivyovitaja vina hali mbaya, ungefanya kama alivyofanya mtoa mada.. Weka sababu unazodhani zinasababisha hayo then toa ushauri.. basiii
Ni yale yale ya kuangalia ubora wa afya yako kwa kujilinganisha na mgonjwa. Kwa vile yule ni mgonjwa pia basi tunafanana. Na akiwa hoi zaidi yako basi unajipiga kifua kuwa kumbe mi nina unafuu. Unasahau kuwa wewe na huyo mgonjwa mwenzio wote ni majiganyanza. Kwa nini ujilinganishe na mgonjwa kama kweli una nia ya kufanya tathmini nzuri na hatimaye kuboresha afya yako? Mbona usiende gym ukajilinganisha na mijamaa yenye miraba minne huko? Hapa ndipo Waswahili na Uswahili wao huwa vinanishinda kabisa. Kinaulizwa kingine halafu mtu amesharukia kwingine. Aaaaargh!
 
dah nimesoma huu uzi post za mwishoni, nimeona kuna mwanga kidogo, maana ligi za udini hapa jukwaani zinakuwa kali hadi untafakari unajiuliza hii Tanzania yetu inaenda wapi?

tujitafakari tubadilike jamani sisi wote watanzania cha ajabu tunazozana kwa dini ambazo hata hatuzielewi badala ya kukaa pamoja na kutafakari namna ya kujinasua kwenye umasikini
 
MUM haimo kwenye orodha ya TCU
Horodha ipi unayoizungumzia wewe?

MUM inatambulika na TCU na imesajiliwa, isipokuwa haitumii CAS kufanya udahili wa wanafunzi wake, na hilo taratibu walizoziweka TCU zinaruhusu.

Vyuo vya serikali vyote ni lazima kudahili wanafunzi kupitia CAS, ila vyuo binanfsi sio lazima.
 
Tatizo letu kubwa ni kutaka vya bure anyway sina kusudio baya na dini yangu ila ukweli ndio huo, umwinyi unatusumbua sana ndugu zangu hata kuchangia msikitini ni shida,misikiti kibao tunajengewa kwa misaada, kwa upande wa wakikristo kila kitu wanajitutumua wanakanisa wenyewe. Lazima tubadilike utakuta watu kibao pale chuo hawatoi ada kisa Allah atalipa sasa tutaendeshaji chuo
Allah atalipa.ada? Kwani yeye ndo kakutuma hapo? Amazing!
 
Kifungwe ili iweje sasa tunataka kiboreshwe
kiboreshwe na nan inamaana wakati isilamic faundation wanakianzisha waliweka mikakati gani na malengo ngani yjuu ya maendeleo ya chuo walitegea kukianzisha kitu ambacho hawajui mbeleni kutakuwa je ili waje waombe misaada kwa waisilamu kwa nn tunapenda kuomba hii din sio ya kuomba omba mtume anasema anaeomba anaomba makaa ya moto. tusifanye kitu kwa mgongo wa din heti tutegemee waisilamu waje watusaidiee
 
Ndugu zangu wa kiislamu wamesha ingiwa na imani ya kuwa wanakandamizwa kiasi kwamba hata mtu atoe ushauri kwa nia njema inakuwa ngumu kueleweka.Tubadilikeni tusiweke mbele udini sie ni ndugu.
 
Acha uwongo ww mleta thread ww ni mnafik na km umeandka kwa lengo la uchochez mungu hatokusamehe milele
 
Ndugu zangu wa kiislamu wamesha ingiwa na imani ya kuwa wanakandamizwa kiasi kwamba hata mtu atoe ushauri kwa nia njema inakuwa ngumu kueleweka.Tubadilikeni tusiweke mbele udini sie ni ndugu.
adui wa watanzania ni ujinga, ujinga huu ndio unaleta umasikini na maradhi, ila adui wa waisilamu ni wakristo, kila kitu kwao kikiwa tatizo ni wakristo...inasikitisha
 
Hiki chuo kingekuwa kinaendeshwa na Waislam wa dhehebu la Shia kingekuwa mbali sana ila tatizo wamepewa wale ambao kwao ubaguzi ndio kila kitu.
 
Wengi mnaamdika kinafiki tu, Mum ni chuo imara kuliko vyuo vingi vya private Tanzania, kuna vyuo vina survive kwa ajili ya TCU tu, bila tcu hakuna mwanafunz angeenda kusoma huko! Semcuco, rucco, st john etc, mum bado kina uwezo wa kuattract sana students
 
Naamin kuwa waisilamu ni watu wenye uwezo mkubwa sana ni swala la kuji-organize siyo kuwaachia kundi fulan ndo liendeshe chuo. Hayo matatizo kwa vyuo vichanga wanakabiriana nayo siyo MUM pekee, huaba wa lectures ni kitu cha kawaida bora hata MUM wamejitahid kuwa lectures part time lakin wanasifa za kufundisha chuo. kuna baadhi ya vyuo vikuu hapa nchi wanawachukua wanafunz wa master kufundisha hawana sifa kabisa za kufundisha ,tutors ndo anakuwa lectures semester mzima anafundishe yeye tu pesa za kuwalipa lectures part time hawana.
Naamin kuwa waisilamu ni watu wenye uwezo mkubwa sana ni swala la kuji-organize siyo kuwaachia kundi fulan ndo liendeshe chuo. Hayo matatizo kwa vyuo vichanga wanakabiriana nayo siyo MUM pekee, huaba wa lectures ni kitu cha kawaida bora hata MUM wamejitahid kuwa lectures part time lakin wanasifa za kufundisha chuo. kuna baadhi ya vyuo vikuu hapa nchi wanawachukua wanafunz wa master kufundisha hawana sifa kabisa za kufundisha ,tutors ndo anakuwa lectures semester mzima anafundishe yeye tu pesa za kuwalipa lectures part time hawana.


Duh, vioja
 
Back
Top Bottom