Khs kupungua kwa wanafunz, hili ni tatizo la kitaifa si kwa Mum tu, Mum ina nafuu sana x 1000 kuliko vyuo vingine vinavyotegemea mgao wa TCU, Idadi ya wanafunz Mum ni kubwa kuliko majengo yaliyopo ndo maana hata wale wa diploma na certificates wanasoma kwa sessions, enrollment ya undergraduate ni kweli imepungua ni around 600-700 per year now! Tofauti na awali ambapo ilikuwa hadi 1000, mtoa mada uliza enrolment ya st john na semcuco !