Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

Hahahahaha uongo huu.
 
JARIBU HII (Jumatatu hadi Ijumaa 09h00 - 15h00)
0762 169587
Ukikosa jaribu kupiga hizi waombe wakupe namba ya chuo.
0800110388 , 0736 310 311
 
Kama unajipa moyo na vyuo vya hapa.Kama umeenda kuuza mwanao.Mimi sisomeshi mtoto hapa nchi inatiwa Tanzania.Nilishagundua tatizo
 
Kama unajipa moyo na vyuo vya hapa.Kama umeenda kuuza mwanao.Mimi sisomeshi mtoto hapa nchi inatiwa Tanzania.Nilishagundua tatizo
Tupe Maelezo Tujifunze
 
Kama unajipa moyo na vyuo vya hapa.Kama umeenda kuuza mwanao.Mimi sisomeshi mtoto hapa nchi inatiwa Tanzania.Nilishagundua tatizo
Uwezo hatufanani
 
Mbona redflag ushaiona toka asubuhi ila unalazimisha tafuta chuo kingine kwa mwanao kama kweli unataka mwanao asome
 
Tupe Maelezo Tujifunze
Hapa tanzania kuna haribu ndoto za vijana wengi.Kuna mtoto alichukuliwa na wajarumani ila kwa akili yake leo kawa mzuri huko ila hapa tanzania utasikia mirad ayo kusema mtanzania
 
Hapa tanzania kuna haribu ndoto za vijana wengi.Kuna mtoto alichukuliwa na wajarumani ila kwa akili yake leo kawa mzuri huko ila hapa tanzania utasikia mirad ayo kusema mtanzania
Ni Sahihi Tanzania Mtu Anapata Vyeti Tena Anapoambiwa Mfano Injinia Ila Hawezi Kufanya Kazi
Mpaka Vijana Wa Mtaani Waletwe
 
Reactions: Fbn
Nimeshaapta joining nashukuru sana mlionipa taarifa sahihi
 
Wapo Miyuji pale, Karibu na msalato JW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…