little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 2,098
- 3,990
Umenifanya nirudie kusoma mara kadhaa ila bado sijakuelewa, maana nilivyokujibu nilidhani nimejibu kile ulichohitaji ok ngoja tena nitulize kichwa.Umeelewa swali lakini?
Umenifanya nirudie kusoma mara kadhaa ila bado sijakuelewa, maana nilivyokujibu nilidhani nimejibu kile ulichohitaji ok ngoja tena nitulize kichwa.Umeelewa swali lakini?
Nigeria?? Nigeria chuo gani? Hebu tupe ushahidi wa hilo.Mbona Askari wetu kibao pia wanapenda kwenye vyuo vingine Nigeria na kadhalika
Utaratibu Wa Jeshi Upo Wa Aina TofautiHao maafisa si walienda tayari ni maafisa?mi nataka aende private ndio akasomee uafisa (nyota moja ) namaanosha hivyo
Maofisa cadetDuu!! Hicho chuo walienda wakiwa ma private wanafunzi kusomea nyota au walienda tayari ni luteni usu wakaenda endeleza kupata nyota zingine?
Wapo waliokwenda wakitoa form six Kali akala.depo la awali akaenda huko kusomea nyota moja,wapo waliokwenda kupata nyoza za ziadaDuu!! Hicho chuo walienda wakiwa ma private wanafunzi kusomea nyota au walienda tayari ni luteni usu wakaenda endeleza kupata nyota zingine?
Dah...yaani Uluteni unasomewa🤣🤣🤣Mbona mm nilienda cuba kupata luten
Hilo nalijua kaka.Utaratibu Wa Jeshi Upo Wa Aina Tofauti
Mnafanya Kozi Kwanza Wote Halafu Baada Ya Kumaliza Ndiyo Masuala Ya Nyota Yanafuatia
Wakimaliza Wanapangiwa Vituo Wanafanya Kazi Halafu Wanafanya Usaili Tena Kwaajili Ya Kwenda HukoHilo nalijua kaka.
Namaanisha kuwa wanapomaliza pale tpdf dodoma wote wakiwa private , ndio wale bbaadhi wenye elimu zao sasa wanafanyiwa tena usahili (wa kwenda kusomea nyota pale tma)hapa mdio mauliza je?kuna wanaofanyiwa huu isahili labds wakioita wanapangwa labda nchi fulani kama kenye uganda india au somalia? Kusomea hiyo nyota sasa.
Wanapomaliza Kozi Ya KawaidaWakimaliza tma au
ngumu sana kujibu hoja yake, kwanza akisema hajawahi kuona askr wa tpdf kwenda cadet nje ya mipaka ya Tz maana yake atakiwi kujibiwa kama wapo kwa kuwa kajiridhisha kuwa hawapo kitu ambacho ni wrong. Hata hao aliowaona wa njee wapo ambao pia wamekuja TMA tayari wakiwa ma AfisaCjui mmeelewa swali la mtoa mada,ana maanisha hajaona askari wetu wakienda kusomea vyeo kama nyota moja,wanaendaga kusoma kozi zingine lakin cyo vyeo kama wanaokuja Monduli toka nchi zingine.
Watu hawakuelewi sababu wanajitia ujuaji mwingi na hakuna hata mmoja aliyeweza kujibu swali lako.Yaani private anaenda somea nyota moja labda india?
Chuo Hicho Na NDC Wanatoa Elimu Ya Hadhi Ya Kimataifa Ndiyo Maana Toka Ughaibuni Wanasoma Hapo Lakini Tanzania Pia Nasi Tunao Maafisa Wa Jeshi Wanaopata Elimu Ya Jeshi Nchi Nyingine
Ukipata Nafasi Siku Rais Wa JMT Akitoa Kamisheni Kwa Maafisa Wapya
Utasikia Idadi Na Nchi Walikosoma Mfano India, Germany, USA, UK, Israel




Wanasomea Nyota? 😂😂😂Wapo waliokwenda wakitoa form six Kali akala.depo la awali akaenda huko kusomea nyota moja,wapo waliokwenda kupata nyoza za ziada
Walitakiwa kufanyaje?SAS kwanin usihoji Kwamba mban jeshi linaacha rasilimali na Malai za nchi kuchezewa na wanasiasa na wao wapo tu