Brain Kingdom
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 7,004
- 14,551
Sio mwanajeshi huwezi jua, maafsa wanatrain Rwanda, Uganda, Misri, Namibia, Angola, Zambia, Malawi, Ni wewe tu ndio hujui
Wapo sana tu. Hivi vitu mpaka uwe ulipitia au umo kwenye shughuli za ulinzi na usalama wa nchi Ndiyo Utajua vizuri. Mbali na hapo si rahisi.Sawa sijakataa.
Nasemea mbona askari wetu (private) sijawahi ona akienda labda uganda au kenya somalia kwenda kusomea huo uafisa kama tunavyoona askari wa nchi nyingine tena za mbali kuja kusoma hapa hadi kutunukiwa kamisheni kabisa na mhRais.
Kwani hizo nchi hazina chuo chao ?namaanisha hivyo
Hapana wanakuwa na hadhi ya afisa mwanafunzi tuuu sio Afisa.....akimaliza kozi kule anarudi nyumbani anakula kiapo cha nyumbani anaendelea na majukumuNajua kaka ila hao vijana si wameenda tayari ni ma afisa?hata mimo nina jamaa zangu kibao huko
Hwua naona baadhi ya raia wa kigeni (nchi nyingine mbali mbali kuja kupata mafunzo ya pamoja na askari wa hapa hapa kwetu.
Hawa askari (maafisa wageni)baada ya kumaliza mafunzo yao wanarudi makwao!je!haya mafunzo yao ki maalumu kwa kazi maalumu kwao au inakuwaje wapate mafunzo kweru alafu waende kwao.
Je, Mbona sijawahi ona au sikia askari wa hapa kwetu Tanzania wakienda pata mafunzo ya Uafisa Nchi nyingine? Na je ni kwanini Tanzania tuu na si nchi nyingine?
Ufafanuzi tafadhali.
Wanavyo. Itafuatana kama nchi husika mna mkataba au tuseme 'Exchange programme'Sawa sijakataa.
Nasemea mbona askari wetu (private) sijawahi ona akienda labda uganda au kenya somalia kwenda kusomea huo uafisa kama tunavyoona askari wa nchi nyingine tena za mbali kuja kusoma hapa hadi kutunukiwa kamisheni kabisa na mhRais.
Kwani hizo nchi hazina chuo chao ?namaanisha hivyo
Usimtake akae kimya jeshi sio mali ya mama yako wa kambo, hii tabia ya raia wa nchi masikini kujikuta wana hatimiliki ya taasisi fulani ni ya kishamba. Hakuna afisa mshamba hivi.Wewe Ni Mwanajeshi?
Wewe Ni Afisa wa Jeshi?? kama sio kaa Kimya mana hilo eneo sio lako lakini Watu wetu wengi sana Wametrain Sandhurst tena wengi sana..US Millitary Collage..South Afrika Defense Collage..Russia na maeneo mengine kibao.
Ngoja nitamuuliza jamaa yangu wa depo alienda ujerumani kisa kanizidi mi form 4 yeye 6,sa iv ana vinyota mshenzi yule na udoja wakeHao maafisa si walienda tayari ni maafisa?mi nataka aende private ndio akasomee uafisa (nyota moja ) namaanosha hivyo
Aisee!!!Wewe Ni Mwanajeshi?
Wewe Ni Afisa wa Jeshi?? kama sio kaa Kimya mana hilo eneo sio lako lakini Watu wetu wengi sana Wametrain Sandhurst tena wengi sana..US Millitary Collage..South Afrika Defense Collage..Russia na maeneo mengine kibao.
Asante sana ndio maana nimekaa kimya sijamjibuUsimtake akae kimya jeshi sio mali ya mama yako wa kambo, hii tabia ya raia wa nchi masikini kujikuta wana hatimiliki ya taasisi fulani ni ya kishamba. Hakuna afisa mshamba hivi.
Na swali lake liko open wala halina siri yoyote. Kama ingekuwa siri mahafali yasingetangazwa.
Ngoja nitamuuliza jamaa yangu wa depo alienda ujerumani kisa kanizidi mi form 4 yeye 6,sa iv ana vinyota mshenzi yule na udoja wake
Sent using Jamii Forums mobile app



hizo nyota alienda kupatia nje zote au alienda akiwa na moja karudi na mbili au tatuUlishawahi kusikia chuo kinaitwa Sandhurst? Kipo kwa Mfalme Charles hapo maofisa wetu wengi wamesomaHwua naona baadhi ya raia wa kigeni (nchi nyingine mbali mbali kuja kupata mafunzo ya pamoja na askari wa hapa hapa kwetu.
Hawa askari (maafisa wageni)baada ya kumaliza mafunzo yao wanarudi makwao!je!haya mafunzo yao ki maalumu kwa kazi maalumu kwao au inakuwaje wapate mafunzo kweru alafu waende kwao.
Je, Mbona sijawahi ona au sikia askari wa hapa kwetu Tanzania wakienda pata mafunzo ya Uafisa Nchi nyingine? Na je ni kwanini Tanzania tuu na si nchi nyingine?
Ufafanuzi tafadhali.
Duu!! Hicho chuo walienda wakiwa ma private wanafunzi kusomea nyota au walienda tayari ni luteni usu wakaenda endeleza kupata nyota zingine?Ulishawahi kusikia chuo kinaitwa Sandhurst? Kipo kwa Mfalme Charles hapo maofisa wetu wengi wamesoma