Chuo cha Maafisa wa Jeshi monduli TMA

Chuo cha Maafisa wa Jeshi monduli TMA

Ahaaa!
Na wale nchi jirani tunaowaona wanapata kamisheni hiyo hapa kwetu huwa kwa hiyo baada ya hapo wanavuliwa wanaenda vishwa zao huko kwao au?
Sio kamisheni wanamaliza kozi na wakati wa kuapa kwa Rais wa JMT wao hawaapi wanakaa kimya wala hawasemi chochote. Baada ya pape wanaenda kwao kula kiaponkwa rais wao
 
Sio kamisheni wanamaliza kozi na wakati wa kuapa kwa Rais wa JMT wao hawaapi wanakaa kimya wala hawasemi chochote. Baada ya pape wanaenda kwao kula kiaponkwa rais wao
Aha sawa
 
Huko wameenda kama private wa kawaida kusomea huo uafisa?
Umeuliza lakini kila ukijibiwa bado unadai hujaeleweka,inaonekana umekuja kuuliza lakini ukiwa na jibu au mtazamo wako sasa ndio maana unaangaika.
Umeshaambiwa wapo askari wetu wanaokwenda kusoma nje kuanzia maofisa hadi wale wanaoanza kusomea uafisa na wakitoka huko wanakuja kutunukiwa nishani na amiri jeshi mkuu hapa nyumbani na hata wale wa kutoka nje unaowaona TMA wakimaliza mafunzo nishani uenda kutunukiwa kwao.
Acha kusumbua watu.
 
Umeuliza lakini kila ukijibiwa bado unadai hujaeleweka,inaonekana umekuja kuuliza lakini ukiwa na jibu au mtazamo wako sasa ndio maana unaangaika.
Umeshaambiwa wapo askari wetu wanaokwenda kusoma nje kuanzia maofisa hadi wale wanaoanza kusomea uafisa na wakitoka huko wanakuja kutunukiwa nishani na amiri jeshi mkuu hapa nyumbani na hata wale wa kutoka nje unaowaona TMA wakimaliza mafunzo nishani uenda kutunukiwa kwao.
Acha kusumbua watu.
Sawa blaza
 
Umeuliza lakini kila ukijibiwa bado unadai hujaeleweka,inaonekana umekuja kuuliza lakini ukiwa na jibu au mtazamo wako sasa ndio maana unaangaika.
Umeshaambiwa wapo askari wetu wanaokwenda kusoma nje kuanzia maofisa hadi wale wanaoanza kusomea uafisa na wakitoka huko wanakuja kutunukiwa nishani na amiri jeshi mkuu hapa nyumbani na hata wale wa kutoka nje unaowaona TMA wakimaliza mafunzo nishani uenda kutunukiwa kwao.
Acha kusumbua watu.
Msumbufu..ila twende nae taratibu ataelewa baadae.
 
Maswali mengine huwezi kuyaelewa kama wewe sio mtu wa kada husika.
Ni sawa na kuuliza malaya wanajikingaje na magonjwa ya ngono.?
Utamu wa ngoma uingie ucheze.
Karibu Ngome Upanga upate ufafanuzi.
 
Hwua naona baadhi ya raia wa kigeni (nchi nyingine mbali mbali kuja kupata mafunzo ya pamoja na askari wa hapa hapa kwetu.

Hawa askari (maafisa wageni)baada ya kumaliza mafunzo yao wanarudi makwao!je!haya mafunzo yao ki maalumu kwa kazi maalumu kwao au inakuwaje wapate mafunzo kweru alafu waende kwao.

Je, Mbona sijawahi ona au sikia askari wa hapa kwetu Tanzania wakienda pata mafunzo ya Uafisa Nchi nyingine? Na je ni kwanini Tanzania tuu na si nchi nyingine?

Ufafanuzi tafadhali.
Ni kawaida kwa maluteni usu kuja TMA na kupata mafunzo ya kawaida ya kijeshi ili kuongeza ujuzi na pia kuboresha mahusiano baina ya TMA na vyuo vingine vya nchi zingine.

Ndo maana kuna wale wanopelekwa Cuba, Sandhurst na hata Marekani kwa "scholarships" maalum.

Kwa mfano kila mwaka TMA hupata schilarships kwenda Sandhurst kwa wanafunzi bora mmoja au wawili.

Lakini suala hilo huitwa Exchange Programs na hufanyika hata kwa vyuo vyetu vikuu na pia kwa wale wanafunzi watakao kuja Tanzania na pia kujifunza na tamaduni zetu na kuiona nchi yetu.
 
Ni kawaida kwa maluteni usu kuja TMA na kupata mafunzo ya kawaida ua kijeshi ili kuobgeza ujuzi na pia kuboresha mahusiano baina ya TMA na vyuo vingine vya nchi zingine.

Ndo maana kuna wale wanopelekwa Cuba, Sandhurst na hata Marekani kwa "scholarships" maalum.

Kwa mfano kila mwaka TMA hupata schilarships kwenda Sandhurst kwa wanafunzi bora mmoja au wawili.

Lakini suala hilo huitwa Exchange Programs na hufanyika hata kwa vyuo vyetu vikuu na pia kwa wale wanafunzi watakao kuja Tanzania na pia kujifunza na tamaduni zetu na kuiona nchi yetu.
Ahaa. Asate
 
Kiufupi ni kuwa vyeo vyote vinapatikana hapa hapa nchini...isipokuwa Kila nchi imejispecialize kwenye jambo Fulani muhimu la kijeshi ambalo nchi nyingine hawana...mfano Kuna baadhi ya mafunzo ya ukomandoo yalikuwa yanatolewa Kwa Fidel Castro huko... Hivyo ukiona wanajeshi wanatoka kwenda mafunzoni nchi za mbali sio kwamba wanafata vyeo... Japo elimu watakayo enda kuipata huko waendapo nchi za watu Huwa inakuwa sawa na cheo husika Kwa mtu aliepo hapa nyumbani... Mfano mtu mwenye certificate ya kijeshi akienda kusomea diploma ya kijeshi akirudi lazima apewe cheo kinachoendana na elimu ya kijeshi aliyoenda kusomea huko nchi za watu...na wengine kutokana na elimu hiyo aliyo upata huko...huko huko anatunukiwa cheo...!
 
Back
Top Bottom