Chuo cha Maafisa wa Jeshi monduli TMA

Chuo cha Maafisa wa Jeshi monduli TMA

Maofisa cadet
Point of correction, nafikiri kwenye kozi ya uafisa hakuna cheo kinaitwa private wanafunzi, bali ni Afisa mwanafunzi, alafu pale hawasomei nyota kama ulivosema Bali nyota ni kamisheni baada ya kumaliza kozi ambayo Ina vitu vingi humo ndani.
 
Aisee mna vichwa vigumu balaa...
Hao maafisa huko walienxa wakiwa private ndio wakaenda kusomea huko ua fisa au walienda wakiwa afisa.
Mbona hamnielewi jamanii???
Vichwa mtumba ,,kaenda afisa karudi private [emoji1787]
 
Hakuna kitu kinaitwa kusomea Nyota, labda kama unazungumzia wanajimu.
Ni sawa na mtu aseme wanasomea Degree.
Kuna kozi wanasoma, both darasani na field.
Ila
Mkuu ninachojua watu wanaenda kusoma.kozi na wanakuja kuaota kiapo na kurasimisha kamisheni zao,inategemea mwingine anaenda kusoma.military science degree akija anajiwe lake mwingine ana ends kusomea.kozi ,anakuja afisa.kadeti,
Km unavyoona monduli watu wanakuja kusomea hivyo hivyo na sisi kuna nchi tunaenda kusomea,
 
Hwua naona baadhi ya raia wa kigeni (nchi nyingine mbali mbali kuja kupata mafunzo ya pamoja na askari wa hapa hapa kwetu.

Hawa askari (maafisa wageni)baada ya kumaliza mafunzo yao wanarudi makwao!je!haya mafunzo yao ki maalumu kwa kazi maalumu kwao au inakuwaje wapate mafunzo kweru alafu waende kwao.

Je, Mbona sijawahi ona au sikia askari wa hapa kwetu Tanzania wakienda pata mafunzo ya Uafisa Nchi nyingine? Na je ni kwanini Tanzania tuu na si nchi nyingine?

Ufafanuzi tafadhali.
we jamaa sijui kama ulipata jibu.Ipo hivi askari unapoenda kufanya mafunzo ya uafisa nchi nyingine,baada ya kumaliza mafunzo hauwi afisa mpaka uende kula kiapo kwenye nchi yako.Kwahiyo hawa wanaofanya mafunzo Tanzania hutoka hapa na kwenda kupata commission kwenye nchi zao.Na wa kwetu wakienda kupata mafunzo nchi za nje wanakuja kuvalia nyota nyumbani.
 
we jamaa sijui kama ulipata jibu.Ipo hivi askari unapoenda kufanya mafunzo ya uafisa nchi nyingine,baada ya kumaliza mafunzo hauwi afisa mpaka uende kula kiapo kwenye nchi yako.Kwahiyo hawa wanaofanya mafunzo Tanzania hutoka hapa na kwenda kupata commission kwenye nchi zao.Na wa kwetu wakienda kupata mafunzo nchi za nje wanakuja kuvalia nyota nyumbani.
Umemaliza kila kitu.
 
Hwua naona baadhi ya raia wa kigeni (nchi nyingine mbali mbali kuja kupata mafunzo ya pamoja na askari wa hapa hapa kwetu.

Hawa askari (maafisa wageni)baada ya kumaliza mafunzo yao wanarudi makwao!je!haya mafunzo yao ki maalumu kwa kazi maalumu kwao au inakuwaje wapate mafunzo kweru alafu waende kwao.

Je, Mbona sijawahi ona au sikia askari wa hapa kwetu Tanzania wakienda pata mafunzo ya Uafisa Nchi nyingine? Na je ni kwanini Tanzania tuu na si nchi nyingine?

Ufafanuzi tafadhali.
Wanaenda Sema haitangazwi mchakato wake nk
 
Ngoja nitamuuliza jamaa yangu wa depo alienda ujerumani kisa kanizidi mi form 4 yeye 6,sa iv ana vinyota mshenzi yule na udoja wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti 'Vinyota mshenzi' ungejua huyo jamaa yako aliapa kulinda katiba ya nchi na Rais wake na yuko tayari saa yoyote kufia nchi hii mahali popote na wakati wowote
 
ngumu sana kujibu hoja yake, kwanza akisema hajawahi kuona askr wa tpdf kwenda cadet nje ya mipaka ya Tz maana yake atakiwi kujibiwa kama wapo kwa kuwa kajiridhisha kuwa hawapo kitu ambacho ni wrong. Hata hao aliowaona wa njee wapo ambao pia wamekuja TMA tayari wakiwa ma Afisa
Asante sana umenielewa vema
 
Watu hawakuelewi sababu wanajitia ujuaji mwingi na hakuna hata mmoja aliyeweza kujibu swali lako.

Ninachofahamu mimi ni kwamba askari wetu anapomaliza cadet course kwa wale ambao wameingia spacial programme hupelekwa TMA kwa ajili ya kozi za uofisa na baada ya hapo huwa commissioned kulingana na viwango vya elimu zao na kozi walizosomea kwa maana kuna ambao kwa elimu yao watapewa Asst. Lt, Lieutenant, wengine Captain kwa watu kama marubani na madaktari.

Kuhusu wengine kupelekwa nje na kupewa nyota hukohuko kwa sasa sina uhakika nachofahamu zamani kulingana na baadhi ya utaalamu hatukuwa nao walikuwepo maofisa wengi waliopandishwa vyeo hukohuko kama waliopelekwa Cuba, Israel na Urusi na Jamhuri za kisovieti.

In short askari wapo wanaenda kozi za kila aina huko nje ila akimaliza kozi akirudi home ndio atasubiri wakati wa commission zikitolewa basi file lake kama safi na anadeserve commission ndio hupewa cheo.

I hope nimekujibu kulingana na swali lako
Asante sana wewe ni miongoni mwa ulionielwa vema kabisa.
Jibu lako limeniridhisha nashukuru
 
Nyie hamjamuelewa huyu jamaa wa stendi,sijui ni wakala, mpiga debe,ama muuza supu na juice stend[emoji1787]
Yeye anashangaa Kama Tanzania tuna vyuo vya kijeshi vya mataifa mengine kuja kusoma hapa,manake wajeda wetu tunawajua uwezo wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaa..karibu sana stendi.
Namaanisha mbona askari wetu sijaona wakienda nje kusomea nyota?yaani waende private kawaida ndio wakasome nje kama sisi tunavyoona wa nchi za nje kuja kupata nyota hapa kwetu.
Namaanisha hivyo
 
Hwua naona baadhi ya raia wa kigeni (nchi nyingine mbali mbali kuja kupata mafunzo ya pamoja na askari wa hapa hapa kwetu.

Hawa askari (maafisa wageni)baada ya kumaliza mafunzo yao wanarudi makwao!je!haya mafunzo yao ki maalumu kwa kazi maalumu kwao au inakuwaje wapate mafunzo kweru alafu waende kwao.

Je, Mbona sijawahi ona au sikia askari wa hapa kwetu Tanzania wakienda pata mafunzo ya Uafisa Nchi nyingine? Na je ni kwanini Tanzania tuu na si nchi nyingine?

Ufafanuzi tafadhali.
Huwezi kutangaziwa hilo, ila wapo vijana wetu wengi tu hupata mafunzo sehemu mbalimbali duniani
 
Point of correction, nafikiri kwenye kozi ya uafisa hakuna cheo kinaitwa private wanafunzi, bali ni Afisa mwanafunzi, alafu pale hawasomei nyota kama ulivosema Bali nyota ni kamisheni baada ya kumaliza kozi ambayo Ina vitu vingi humo ndani.
Sawa ila swali umeelewa.
Hapa ningesemea afisa mwanafunzi wengi humu ni raia hawaelewi ,nimetumia kauli ya mtaani wanasema (kaenda kusomea nyota[emoji1787][emoji1787]
 
we jamaa sijui kama ulipata jibu.Ipo hivi askari unapoenda kufanya mafunzo ya uafisa nchi nyingine,baada ya kumaliza mafunzo hauwi afisa mpaka uende kula kiapo kwenye nchi yako.Kwahiyo hawa wanaofanya mafunzo Tanzania hutoka hapa na kwenda kupata commission kwenye nchi zao.Na wa kwetu wakienda kupata mafunzo nchi za nje wanakuja kuvalia nyota nyumbani.
Ahaaa!
Na wale nchi jirani tunaowaona wanapata kamisheni hiyo hapa kwetu huwa kwa hiyo baada ya hapo wanavuliwa wanaenda vishwa zao huko kwao au?
 
Ahaaa!
Na wale nchi jirani tunaowaona wanapata kamisheni hiyo hapa kwetu huwa kwa hiyo baada ya hapo wanavuliwa wanaenda vishwa zao huko kwao au?
Hakuna mtu wa nchi jirani anayepata commision kwetu,wanapata mafunzo tu.
 
Back
Top Bottom