Huko Arusha pia kuna chuo kingine cha ukamanda na unadhimu kilichopo Duluti Arumeru.
Juzijuzi maofisa 65 walitunukiwa beji na mkuu wa chuo aitwa Sylvester Ghuliku.
Kabla ya hapo waziri wa ulinzi aliwatunukia maofisa hao Shahada ya Uzamili na Shtashahada ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama.
Katika hao 37 ni kutoka nchi za Kongo, Eswatini, Kenya Malawi, Misri, Msumbiji, Nigeria, Rwanda Tanzania na Uganda.
Kwahiyo si TMA tu bali tuna chuo kingine hicho cha Duluti ambacho ni kwa makamanda na wanadhimu wa jeshi.