Huyo hajui chuo kama cha Sandhust military AcademyTunao maafisa wengi Urusi Ukraine India na mataifa mengine
Huyo hajui chuo kama cha Sandhust military AcademyTunao maafisa wengi Urusi Ukraine India na mataifa mengine
Labda uandike kwa lugha ya malkia.Aisee mna vichwa vigumu balaa...
Hao maafisa huko walienxa wakiwa private ndio wakaenda kusomea huko ua fisa au walienda wakiwa afisa.
Mbona hamnielewi jamanii???
Huko wameenda kama private wa kawaida kusomea huo uafisa?Utaratibu wa Kawaida
Vijana wetu wako Usa, Urusi India china south Africa Burundi Mozambique, Kenya nk na wanakwenda kama maafisa wanafunzi
Na Nchi rafiki wanaleta vijana wao nchini mwetu
Sio tuuu Private ni vijana wadogo mno wamejaa tele huko nchi nyingine ni vile Jeshi mambo yake yako classifiedHuko wameenda kama private wa kawaida kusomea huo uafisa?
Nani akuelewi? Chuo kama TMA ni chuo Kinacho 'mpika' askari kuwa commission officer.Aisee mna vichwa vigumu balaa...
Hao maafisa huko walienxa wakiwa private ndio wakaenda kusomea huko ua fisa au walienda wakiwa afisa.
Mbona hamnielewi jamanii???
Sawa.Sio tuuu Private ni vijana wadogo mno wamejaa tele huko nchi nyingine ni vile Jeshi mambo yake yako classified
Commission kupata ndani TMA baada hapo from Major kwenda juu huenda nchi mbali mbali....Hao maafisa si walienda tayari ni maafisa?mi nataka aende private ndio akasomee uafisa (nyota moja ) namaanosha hivyo
Ndiyo!!Huko wameenda kama private wa kawaida kusomea huo uafisa?
Watanzania wengi sana walipata mafunzo ya kijeshi Urusi, Cuba, nk miaka ya 70 na 80 mkiwa hamjazaliwa.Hwua naona baadhi ya raia wa kigeni (nchi nyingine mbali mbali kuja kupata mafunzo ya pamoja na askari wa hapa hapa kwetu.
Hawa askari (maafisa wageni)baada ya kumaliza mafunzo yao wanarudi makwao!je!haya mafunzo yao ki maalumu kwa kazi maalumu kwao au inakuwaje wapate mafunzo kweru alafu waende kwao.
Je, Mbona sijawahi ona au sikia askari wa hapa kwetu Tanzania wakienda pata mafunzo ya Uafisa Nchi nyingine? Na je ni kwanini Tanzania tuu na si nchi nyingine?
Ufafanuzi tafadhali.
Sawa sijakataa.Nani akuelewi? Chuo kama TMA ni chuo Kinacho 'mpika' askari kuwa commission officer.
hicho chuo kiko hapa, waende hawawezi kwenda Congo kwa mfano hakipo chuo cha kujifunzaHujanielewa.
Hao maafisa walitoka hapa tanzania wakiwa bado hawajawa maafisa?
Haina haja ya kutafiti wadogo zetu Wengi wako nje vyuo mbalimbali wanatuwakilisha Vyema wanachukua material wanarudi kutumikia Nchi yao Jeshi haliwezi kusema tuna vijana Nchi flani....... Wenyewe wanasema Jeshi sio shirika la mkonge etiSawa.
Ila navyojua hata jamaa yangu alifanikiwa kuingia kwao wakamzuia hadi leo ni askari wa marekani.
Ila yeye alipitia huko huko hakuanzia bongo huku.
Ngoja niendelee kufanya utafiti bado sijaridhika




Anayeweza kujibu umuhim wa wao kupelekwa huko nje labda msemaji wa JeshiWapo waliotoka form six direct wakenda kozi za awali halafu wakaenda nje na kurudi na nyota moja...
Idadi yao inategemea mahitaji kiulinzi na bajeti .
Lengo sio kusoma tu lengo anaenda kusomea uafisa yaani nyota moja ,je Kuna la ziada ambapo inaonekana lazima aende huko?
Najua kaka ila hao vijana si wameenda tayari ni ma afisa?hata mimo nina jamaa zangu kibao hukoHaina haja ya kutafiti wadogo zetu Wengi wako nje vyuo mbalimbali wanatuwakilisha Vyema wanachukua material wanarudi kutumikia Nchi yao Jeshi haliwezi kusema tuna vijana Nchi flani....... Wenyewe wanasema Jeshi sio shirika la mkonge eti![]()