trouble maker
Member
- Jan 24, 2017
- 62
- 58
- Thread starter
- #21
sasa ninge toa maada ya nini kama mimi siyo mmoja wao naeleza kitu ninacho kielewaOFF Point...nimekuuliza wewe bikra unayo? Kwanza ninyi vijana wa sasa mnapaswa kutambua kwamba pema usijapo pema, ukipema si pema tena. Kwa kukusaidia tu ni kwamba mahala popote huwa pazuri endapo hujawah kwenda, ukishaenda mara kwa mara uzuri wake huisha.