mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,853
Kuna vitu vinatafakarisha sana hasa ukiwafikiria vijana wanavyodai na kumchukia mwanamke msaliti, sasa tuweke sawa, ni hivi kuna baadhi ya wanaume tunasemaga, ukimkuta mkeo kakusaliti au ana dalili za usaliti fukuza!! Hapa ieleweke kwamba anaetakiwa kumfukuza mkewe andapo amemkuta kamsaliti ni yule mwanaume ambaye alimkuta/umemkuta mke wako bikra, yaani hajawahi kufanya mapenzi,, ila kwa mwenzangu na mimi kama hujamkuta mke wako bikra, na ukajiunga kwenye msafara wa mamba na wakati wewe kenge mwenzangu hebu fukuza. kabla hata hajakusaliti maana unaishi na mzinzi sugu, tena mke wa mtu na wewe unaridhi dhambi ya uzinzi hebu fukuzaa asije akaleta mikosi ndio mana nyumba kila day ugomvi mara kakunyima, mara kakununia, matatizo yote ya nini fukuzaa kama bwai iwe bwai fukuzaaaa simmeamua hamtaki usaliti sasa hujamkuta bikra huo si usaliti au mnaongeleaga usaliti gani? Hebu Fukuzaa